WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 16/10/2015.
[Mikoa ya Kigoma, Mwanza,Mara,Geita,Shinyanga
na Kagera]:
|
|
Hali ya Mawingu, mvua na
ngurumo Katika
baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
|
[Mikoa ya Rukwa na Tabora]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo
katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Tanga,Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
katika
maeneo machache na vipindi
vya jua.
|
[Mikoa ya Mbeya, Katavi,
Iringa na Njombe]:
[Mikoa ya Dar es Salaam na Pwani]:
[Mikoa ya Dodoma na Singida]:
[Mikoa ya Lindi, Mtwara,Morogoro
na Ruvuma]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua
|
ANGALIZO
VIPINDI VYA MVUA KUBWA VINATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA MIKOA
YA KAGERA,MARA,MWANZA,KIGOMA,SHINYANGA NA
GEITA.
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
28°C
|
17°C
|
12:18
|
12:24
|
D'SALAAM
|
32°C
|
21°C
|
12:05
|
12:15
|
DODOMA
|
31°C
|
17°C
|
12:19
|
12:28
|
KIGOMA
|
30°C
|
21°C
|
12:44
|
12:52
|
MBEYA
|
28°C
|
14°C
|
12:28
|
12:39
|
IRINGA
|
29°C
|
15°C
|
12:19
|
12:30
|
MWANZA
|
27°C
|
19°C
|
12:32
|
12:37
|
TABORA
|
34°C
|
20°C
|
12:32
|
12:40
|
TANGA |
30°C
|
24°C
|
12:07
|
12:15
|
ZANZIBAR
|
32°C
|
23°C
|
12:05
|
12:15
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya km 30 kwa saa; kutoka
Kusini-Mashariki kwa Pwani ya Kaskazini na kutoka Mashariki kwa
Pwani ya Kusini.
Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Makubwa Kiasi.
Matazamio kwa siku ya Jumapili:
18/10/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe: 16/10/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.