BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI MBAYA: TAZAMA PICHA HAPA Unknown 4:43:00 pm AJARI ZAIDI ya abiria 60 wamenusurika kifo, baada ya basi la Dar Express lililokuwa linatoka Dar kwenda Nairobi kupasuka tairi la mbele kushoto kisha kupinduka katika eneo la Msata karibu na daraja la Wami mkoani Pwani leo. Msama Blog Share this Share on FacebookTweet on TwitterPlus on Google+