WIZARA
YA UCHUKUZI
MAMLAKA
YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735.
email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA
KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE
23/01/2014.
[Mikoa
ya Iringa, Mbeya na Rukwa]:
[Mikoa
ya Singida na Dodoma]:
[Mikoa
ya Kigoma na Tabora]:
[Mkoa
wa Morogoro]:
|
|
Hali
ya Mawingu, mvua na ngurumo katika baadhi ya maeneo na vipindi
vifupi vya jua.
|
[Mikoa
ya Mara Mwanza, Kagera na Shinyanga]:
[Mkoa
wa Ruvuma]:
|
|
Hali
ya Mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika maeneo machache na
vipindi vya jua.
|
[Mikoa
ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro]:
[Mikoa
ya Tanga, Dar es salaam na Pwani]:
[Visiwa
vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa
ya Lindi na Mtwara]:
|
|
|
TAHADHARI:
- UPEPO MKALI NA MAWIMBI MAKUBWA YANATARAJIWA KATIKA BAADHI YA MAENEO YA TANGA, PWANI, DAR ES SALAAM PAMOJA NA VISIWA VYA UNGUJA NA PEMBA.
- MVUA KUBWA INATARAJIWA KATIKA MAENEO YA KIGOMA, TABORA, RUKWA, IRINGA, MBEYA NJOMBE,SINGIDA,DODOMA,NA MOROGORO.TAFADHALI CHUKUA TAHADHARI.
VIWANGO VYA
JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
|
Kiwango cha juu cha joto
|
Kiwango cha chini cha joto
|
Mawio (Saa)
|
Machweo (Saa)
|
ARUSHA |
30°C
|
14°C
|
12:38
|
12:52
|
D'SALAAM |
34°C
|
26°C
|
12:21
|
12:47
|
DODOMA |
27°C
|
19°C
|
12:37
|
12:59
|
KIGOMA |
29°C
|
20°C
|
01:02
|
01:22
|
MBEYA |
22°C
|
11°C
|
12:41
|
01:13
|
MWANZA |
27°C
|
18°C
|
12:53
|
01:05
|
TABORA |
26°C
|
18°C
|
12:50
|
01:10
|
TANGA |
32°C
|
25°C
|
12:25
|
12:45
|
ZANZIBAR |
33°C
|
27°C
|
12:21
|
12:47
|
LINDI |
30°C
|
24°C
|
12:15
|
12:49
|
Upepo
wa Pwani:Unatarajiwa
kuvuma
kutoka
Kaskazini-Mashariki kwa
kasi
ya km 40 kwa saa
kwa
Pwani
Ya
Kaskazini na
kutoka
Kusini kwa
kasi ya
km 30 kwa saa kwa
pwani ya Kusini.
Hali
ya bahari: Inatarajiwa kuwa na mawimbi
Makubwa kiasi hadi
makubwa.
Matazamio
kwa siku ya Jumamosi:
25/01/2014: Mabadiliko
kidogo
Utabiri
huu umetolewa leo tarehe 23/01/2014.
Na:
MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.