Ziara ya Rais Kabila Mashariki mwa Kongo

Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo anaendelea na ziara yake Mashariki mwa Kongo, ikiwa ni mara ya kwanza kuzuru eneo hilo tangu kuzuka kwa mapigano kati ya vikosi vya serikali na makundi ya waasi.
Rais Joseph Kabila wa DRC Rais Joseph Kabila wa DRC
Grace Kabogo amezungumza na Mustapha Mwiti, Kiongozi wa mashirika ya kiraia Mashariki mwa Kongo, na kwanza alitaka kujua wakaazi wa eneo hilo wanatarajia nini kutokana na ziara hiyo. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
HABARI NA dw.de 

Related Posts