HALI ILIVYO KTIKA JIJI LA MBEYA, KIWOHEDE YAFANYA MAJADILIANO


Mkurugezi mtendaji wa Kiwohede Justa Mwaituka a.k.a Mama J



TAASISI ya Kiwohede yafanya utafiti juu ya mikakati ya kuhakikisha watoto wa mitaanio wanapungua ama kutoweka kabisa katika majiji na kuopatiwa haki zao.


Hii ni kutokana na ongezeko la watoto wa mitaani na changamoto za ukuaji wa Miji.


HIVI ndivyo mambo yalivyo kuwa katika majadiliano kati ya wakuu wa idara watendaji kutoka katika kata nane za jiji la Mbeya katika Picha.
Majadiliano hayo yalilenga katika mambo mbalimbali juu ya kuboresha haki za mtoto  kufuatia ukuaji wa miji hapa nchini kufuatia utafiti uliofanywa na Unicef na Kiwohede  pamoja na taasisi zingene kati ya mwaka 2011 na 2012.
Mratibu elimu Kata ya Mabatini jijini Mbeya, Bi Anna Katage 

Baadhi ya washiriki katika mjadara huo

Mama Mwanjisi Mshiriki akitoa maada



Diwani kata ya NzovweDavid Mwashilindi akiwasilisha yake katika kutetea haki za mtoto na ukuaji wa majiji


washiriki


Afande Podensiana wa Dawati la Jinsia na watoto Polisi Mbeyaakieleza jinsi wanavyo pambana na watu wanao nyanyasa watoto


Roda Angetile afisa maeneleo ya jamii kata ya Mwakibete

Halsoni Seme akielezea jinsi watoto wanavyo takiwa kufanyiwa ili kupunguza watoto wa mitaani



Bi Roda akisikiliza kwa makini mjadala

Mmoja wa makodineta akifanya rekording  ya mjadala

Mkuu wa kituo cha Kiwohede tawi la Mbeya

Kodineta akinukuu baadhi ya vitu vilivyo kuwa vikiendelea


wamama kutoka dawati la jinsia na watoto la Polisi Mbeya

washiriki






Mgeni Rasmi (Kushoto) afisamaendeleo ya jamii jiji Msola akiwa na mkurugezni wa Kiwohede Tanzania Bi Justa a.k.a Mama J


Mgeni rasmi akifungua majadiliano katika Ukumi wa OTU jijini Mbeya

Picha ya pamoja ya washiriki wa majadiliano wakiwa ni maafisa mbalimbali kutoka katika jiji la Mbeya wakiwa wamekusanywa na Kiwohede










Ulifika wakati wa majadiliano yalikuwa kama ifuatavyo katika makundi mbalimbali kwa picha









ulifika wakati wa kuwasilisha kile kilicho jadiliwa katika makundi na ilikuwa hivi kwa mfumo wa picha


Diwani kata ya Mwakibede akiwasilisha maada iliyo jadiliwa katika kundi lao












Diwali kata ya Nzovwe nae aliwakilisha maada ya kundi lao



Afande Mary Gumbo akiwasiliasha maada ya kudi lao waliyo jadili




Hapa ndio ilifika mwisho wa majadiliani na afisa mtendaji wa kata ya Iyela, Saji Almas alipata nafasi ya kufunga majadala ambao unatarajiwa kuzaanatunda


Kwa habari usikose kutembelea Elimtaa na Bofya hapa

Picha zote Eliabu Mtaani (Elimtaa)

Je wataka kufanyiwa kavaraje ya picha kama hii wasiliana na Elimtaa kwa Simu  0753321191