JOB VACANCY..
Je, unatafuta ajira nzuri inayolipa?
1.Mshahara Tsh 800,000/= kwa mwezi.
2.Mda wa kazi kuingia saa 8.30 asubuhi
hadi saa 4 jioni.
3.Allowance 300,000/= kwa mwezi.
4.Siku za kazi jumatatu hadi ijumaa.
5.Usafiri na nyumba ya kuishi upo.
Requirements..
1.Cheti cha form 4 na form 6 {CSEE & ACSEE}
2.Elimu ya chuo. {Diploma au Bachelor
degree}.
3.Hakuna uzoefu unaohitajika.
4.Umri chini ya miaka 45. Kama unahitaji hiyo
kazi, basi usijali.
Njoo ungana na mimi tuanze kuitafuta manake
hata mimi ninatafuta kazi hiyo.
Je, unatafuta ajira nzuri inayolipa?
1.Mshahara Tsh 800,000/= kwa mwezi.
2.Mda wa kazi kuingia saa 8.30 asubuhi
hadi saa 4 jioni.
3.Allowance 300,000/= kwa mwezi.
4.Siku za kazi jumatatu hadi ijumaa.
5.Usafiri na nyumba ya kuishi upo.
Requirements..
1.Cheti cha form 4 na form 6 {CSEE & ACSEE}
2.Elimu ya chuo. {Diploma au Bachelor
degree}.
3.Hakuna uzoefu unaohitajika.
4.Umri chini ya miaka 45. Kama unahitaji hiyo
kazi, basi usijali.
Njoo ungana na mimi tuanze kuitafuta manake
hata mimi ninatafuta kazi hiyo.


