DAR ES SALAAM: Hakika neno aibu yake ndilo sahihi unapotaka kuelezea madudu yaliyofanywa na staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ au ‘Shishi Trump’ baada ya kujikuta akiporomosha matusi mazito hadharani, mbaya zaidi mbele ya wageni waalikwa.
Tukio hilo lililoshuhudiwa na Wikienda ambalo lilisababisha watu kupigwa na butwaa, lilijiri wakati Shishi akitumbuiza kwenye jukwaa la shoo ya uzinduzi wa Malkia wa Nguvu uliofanyika katika Ukumbi wa High Sprit, Posta jijini Dar, usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita.
Akiwa ukumbini hapo kabla ya kuanza makamuzi ya shoo hiyo, Shishi alionekana akiwa ameketi peke yake kwa utulivu wa hali ya juu tofauti na alivyo siku zote.
Baadaye utulivu huo ulitafsiriwa kuwa inawezekana alikuwa na stresi kwani baada ya kutakiwa akatumbuize tu, alicharuka ghafla. Alipopanda stejini, kabla ya kuimba, alianza kwa kujinadi kwa kuongea kimombo ‘yai’ akatumbuiza wimbo wake wa Say My Name kisha ukafuatiwa na Sitoi Kiki ambapo baada ya kumaliza kuimba wimbo huo alimtaka DJ, aache kupiga muziki kisha akaanza tena
kujinadi juu ya umalkia wake wa nguvu.
Shishi alisema yeye ni mjasirimali wa kuuza chakula na kwamba anamshukuru sana Mungu kwa kuendelea kumjalia neema ya kupata wateja kila kukicha hivyo akawataka na wasichana wenzake wasichague kazi za kufanya na badala yake wajikite kwenye fursa ambazo wengi wanazionea aibu wakati ndizo zenye masilahi.
Wakati akiongea hayo, ghafla mazungumzo yaliingia kirusi hivyo alijikuta akipandisha mori na kuanza kuongea Kiingereza kisha akaporomosha matusi ya nguoni mbele ya umati wa wageni waalikwa ambao wengi walikuwa wanawake watafutaji.
Alipofutwa na gazeti hili na kuulizwa kulikoni, Shishi alishtuka na kuuliza kama ilikuwa ni ishu, alipoambiwa ni ishu, aliomba Mungu isisambae mitandaoni.
“Kwani nimeharibu? Kwani kuna mtu amechukua video? Naomba Mungu isiingie mitandaoni,” alisema Shishi aliyeonekana ‘kuchangamka’.
TAZAMA HARMORAPA ALIVYO TIMUA MBIO BAADA YA KUIONA BASTOLA
DAR ES SALAAM: Hakika neno aibu yake ndilo sahihi unapotaka kuelezea madudu yaliyofanywa na staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ au ‘Shishi Trump’ baada ya kujikuta akiporomosha matusi mazito hadharani, mbaya zaidi mbele ya wageni waalikwa.
Tukio hilo lililoshuhudiwa na Wikienda ambalo lilisababisha watu kupigwa na butwaa, lilijiri wakati Shishi akitumbuiza kwenye jukwaa la shoo ya uzinduzi wa Malkia wa Nguvu uliofanyika katika Ukumbi wa High Sprit, Posta jijini Dar, usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita.
Akiwa ukumbini hapo kabla ya kuanza makamuzi ya shoo hiyo, Shishi alionekana akiwa ameketi peke yake kwa utulivu wa hali ya juu tofauti na alivyo siku zote.
Baadaye utulivu huo ulitafsiriwa kuwa inawezekana alikuwa na stresi kwani baada ya kutakiwa akatumbuize tu, alicharuka ghafla. Alipopanda stejini, kabla ya kuimba, alianza kwa kujinadi kwa kuongea kimombo ‘yai’ akatumbuiza wimbo wake wa Say My Name kisha ukafuatiwa na Sitoi Kiki ambapo baada ya kumaliza kuimba wimbo huo alimtaka DJ, aache kupiga muziki kisha akaanza tena
kujinadi juu ya umalkia wake wa nguvu.
Shishi alisema yeye ni mjasirimali wa kuuza chakula na kwamba anamshukuru sana Mungu kwa kuendelea kumjalia neema ya kupata wateja kila kukicha hivyo akawataka na wasichana wenzake wasichague kazi za kufanya na badala yake wajikite kwenye fursa ambazo wengi wanazionea aibu wakati ndizo zenye masilahi.
Wakati akiongea hayo, ghafla mazungumzo yaliingia kirusi hivyo alijikuta akipandisha mori na kuanza kuongea Kiingereza kisha akaporomosha matusi ya nguoni mbele ya umati wa wageni waalikwa ambao wengi walikuwa wanawake watafutaji.
Alipofutwa na gazeti hili na kuulizwa kulikoni, Shishi alishtuka na kuuliza kama ilikuwa ni ishu, alipoambiwa ni ishu, aliomba Mungu isisambae mitandaoni.
“Kwani nimeharibu? Kwani kuna mtu amechukua video? Naomba Mungu isiingie mitandaoni,” alisema Shishi aliyeonekana ‘kuchangamka’.
TAZAMA HARMORAPA ALIVYO TIMUA MBIO BAADA YA KUIONA BASTOLA
Jeshi la polisi kupitia kitengo chake cha habari na mawasiliano cha kituo cha kati (central) kimepinga kumshikilia Nay wa Mitego kwa sasa.
Kutokana na taarifa iliyopatiwa Bongo5 kutoka kwenye kitengo hicho zimesema kuwa rapper huyo kwa sasa bado anaendelea kushikiliwa na RPC wa mkoani Morogoro lakini leo au muda wowote anaweza kufikishwa Dar es Salaam kwa ajili ya kujibu mashtaka yake anayotuhumiwa nayo.
Wameongeza kuwa taarifa rasmi itatolewa pindi atakapofikishwa kituoni hapo.
Hata hivyo jana mwanasheria maaarufu nchini, Peter Kibatala alitoa taarifa kupitia mtandao wa Instagram kuwa Nay tayari amefikishwa katika kituo hicho cha kati.
Nay wa Mitego alikamatwa usiku wa kuamkia Jumapili hii mkoani Morogoro baada ya kuachia wimbo mpya uitwao Wapo unaikosoa vikali serikali ya Rais Dkt John Magufuli.
TAZAMA HARMORAPA ALIVYO TIMUA MBIO BAADA YA KUIONA BASTOLA
Rapper Nay wa Mitego amehamishiwa katika kituo cha kati cha polisi jijini Dar es Salaam kutoka Mvomero, Morogoro alikokuwa ameshikiliwa na polisi kuanzia asubuhi ya Jumapili, March 26.
Taarifa hiyo imetolewa na mwanasheria maaarufu nchini, Peter Kibatala.
TAZAMA HARMORAPA ALIVYO TIMUA MBIO BAADA YA KUIONA BASTOLA
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema Rais Dk. John Magufuli atakuwa kiongozi wa kwanza nchini kuvunja rekodi ya kutawala kwa kipindi cha miaka mitano badala ya 10 kama walivyofanya watangulizi wake.
Mbowe aliyasema hayo jana wakati akizindua tawi la wakereketwa wa chama hicho lililopo eneo la Mpakani, Kata ya Kwakifua, Wilaya ya Muheza mkoani Tanga.
Katika hoja hiyo, Mbowe alisema Rais Magufuli ataongoza kwa muhula mmoja kwa kuwa utawala wake hauthamini utu wa binadamu, na ikiwa vinginevyo, yuko tayari kuachana na siasa. “Watu wa Tanga mmechelewa sana kuiondoa CCM madarakani, tulifanya makosa kumchagua Rais wa Awamu ya Tano, matokeo yake wote tunaisoma namba. Tunaanza maandalizi mapema, maana huyu rais atatawala miaka mitano na akiendelea naacha siasa,” alisema Mbowe. #Mtanzania .
JE NI KWELI ANAYOSEMA MBOWE??? TUPIA COMMENT YAKO HAPA
TAZAMA HARMORAPA ALIVYO TIMUA MBIO BAADA YA KUIONA BASTOLA