Showing posts with label March 19. Show all posts
Showing posts with label March 19. Show all posts

Live Video: Askofu Gwajima akijibu tuhuma kuwa amezaa na muumini wake

Siku za hivi karibuni kumekuwa na makanda wa video unaosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ambao anaonekana mwanamke mmoja akihojiwa akidai kuwa amezaa mtoto na Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima.
Katika video hiyo anaonekana mtangazaji wa Clouds Fm/Tv, Soudy Brown akimhoji mama huyo ambaye alisema kuwa amezaa mtoto na Askofu Gwajima. Mwanamke huyo anaeleza kuwa kazi yake yeye alikuwa akifanya usafi katika kanisa hilo kipindi likiwa Kawe kabla ya kuhamia Ubungo.
Kufuatia Tuhuma hizo, kiongozi huyo amesema kuwa leo atatolea ufafanuzi suala hilo huku akidai kuwa ni watu wamejipanga kumchafua. Hapa chini ni video ya Askofu Gwajima akihubiri Kanisani kwake. VIDEO:

from Blogger http://ift.tt/2mX3Smz
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nFMLFZ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2n3OWod
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nAiDPs
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2naSshk
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mhwE49
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2np3QX5
via IFTTT


Live Video: Askofu Gwajima akijibu tuhuma kuwa amezaa na muumini wake

Siku za hivi karibuni kumekuwa na makanda wa video unaosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ambao anaonekana mwanamke mmoja akihojiwa akidai kuwa amezaa mtoto na Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima.
Katika video hiyo anaonekana mtangazaji wa Clouds Fm/Tv, Soudy Brown akimhoji mama huyo ambaye alisema kuwa amezaa mtoto na Askofu Gwajima. Mwanamke huyo anaeleza kuwa kazi yake yeye alikuwa akifanya usafi katika kanisa hilo kipindi likiwa Kawe kabla ya kuhamia Ubungo.
Kufuatia Tuhuma hizo, kiongozi huyo amesema kuwa leo atatolea ufafanuzi suala hilo huku akidai kuwa ni watu wamejipanga kumchafua. Hapa chini ni video ya Askofu Gwajima akihubiri Kanisani kwake. VIDEO:

from Blogger http://ift.tt/2mX3Smz
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mJdxwb
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nAqVGQ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nGv20Q
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mhyodX
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nGCwkx
via IFTTT


Live Video: Askofu Gwajima akijibu tuhuma kuwa amezaa na muumini wake

Siku za hivi karibuni kumekuwa na makanda wa video unaosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ambao anaonekana mwanamke mmoja akihojiwa akidai kuwa amezaa mtoto na Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima.
Katika video hiyo anaonekana mtangazaji wa Clouds Fm/Tv, Soudy Brown akimhoji mama huyo ambaye alisema kuwa amezaa mtoto na Askofu Gwajima. Mwanamke huyo anaeleza kuwa kazi yake yeye alikuwa akifanya usafi katika kanisa hilo kipindi likiwa Kawe kabla ya kuhamia Ubungo.
Kufuatia Tuhuma hizo, kiongozi huyo amesema kuwa leo atatolea ufafanuzi suala hilo huku akidai kuwa ni watu wamejipanga kumchafua. Hapa chini ni video ya Askofu Gwajima akihubiri Kanisani kwake. VIDEO:

from Blogger http://ift.tt/2mX3Smz
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nFMLFZ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2n3MBK0
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nAeyuu
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2naRm4U
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mhD6s6
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2noYBqw
via IFTTT


Yanga Majanga Matupu…Kocha Mpya Lwandamina Aeleza Kinachitesa Yanga

Yanga imetolewa katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kulazimishwa suluhu na Zanaco mjini Lusaka jana.
Suluhu hiyo imeifanya Zanaco kunufaika na bao walilopata katika mchezo wa kwanza jijini Dar es Salaam wiki iliyopita walipoilazimisha Yanga sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa Taifa, hivyo bao la ugenini kuwapa faida.
Kwa matokeo hayo, Yanga inashuka katika Kombe la Shirikisho Afrika, ikiwa miongoni mwa timu 16 zitakazotoka Ligi ya Mabingwa Afrika na kucheza mchezo mmoja kabla ya kutinga hatua ya makundi ya mashindano hayo.
Lwandamina afunguka
Kocha wa Yanga, George Lwandamina amesema anapata wakati mgumu katika kazi yake kutokana na kutofanya maandalizi ya mwanzo wa msimu na mabingwa hao wa Tanzania.
Lwandamina alisema hali ya majeruhi inayowaandama wachezaji wake pamoja na kushindwa kubadilika kwa aina ya uchezaji kwa nyota wake vimechangia hali waliyonayo sasa ya kushindwa kuwa na kiwango cha uwiano sawa.
Katika kipindi cha hivi karibuni baadhi ya wachezaji nyota wa Yanga kama Donald Ngoma, Amissi Tambwe na Thaban Kamusoko wamekuwa wakisumbuliwa na majeraha, jambo ambalo limeipa timu hiyo wakati mgumu.
Kocha huyo aliyejiunga na Yanga mwishoni mwa mwaka jana, alisema kama wachezaji wanapata maandalizi mazuri mwanzoni mwa msimu, wanaweza kucheza msimu mzima kwa kiwango cha juu lakini kama hawakufanya hivyo ni ngumu kuwabadilisha.
“Katika soka hakuna msingi mkubwa kama maandalizi ya mwanzo wa msimu. Wakati huu ndiyo mchezaji anajengewa uwezo wa kucheza kwa kiwango bora kwa msimu mzima,” alisema kocha huyo wa zamani wa Zesco United ya hapa Zambia.
“Mchezaji akifanya mazoezi kwa wiki sita kabla ya msimu kuanza ndipo anaongeza kasi ya mishipa kusambaza damu mwilini. Utimamu wa mwili wake pamoja na uvumilivu mchezo, tofauti na hapo ni ngumu kusonga mbele,” alisema kocha huyo.
Lwandamina alisema kutokana na kubanwa na mechi nyingi za mashindano, ameshindwa kuingiza falsafa yake moja kwa moja klabuni hapo kwani muda mwingi anautumia katika kuangalia wachezaji wanapumzika vipi na wanawezaje kupata utimamu wa kucheza mechi inayofuata.
“Ratiba imebana, kuna wakati ninatamani kuwafundisha vitu vipya lakini hivi navyo vinahitaji muda.
“Tumekuwa na mechi mfululizo msimu huu, mara nyingi ninatazama namna ya kuwasaidia wachezaji kurejesha viwango vyao kwanza.
“Ni vigumu kufundisha katika mazingira hayo hasa unapotaka kuleta vitu vipya. Ni lazima utazame wachezaji ulio nao kama wana uwezo wa kubadilika, vinginevyo inakuwa tatizo,” alisema kocha huyo.
Mchezo ulivyokuwa
Yanga ilishuka uwanjani ikiwa na mabadiliko kadhaa katika kikosi chake tofauti na kile kilichocheza mchezo wa Dar es Salaam. Nahodha Nadir Haroub ‘Cannavaro’ alianzia benchi huku Vincent Bossou na Kelvin Yondani kuanza katika nafasi ya ulinzi wa kati.
Kipindi cha kwanza Yanga ilitawala mchezo kwa kiasi kikubwa na mara nyingi ilitengeneza mashambulizi yake kutokea katikati kwa Thaban Kamusoko.
Kurejea kwa Haruna Niyonzima katika kikosi kuliongeza umiliki wa mpira na Zanaco walilazimika kutumia muda mwingi kujilinda na kushambulizi kwa kushtukiza.
Nafasi ya wazi zaidi kwa Yanga katika kipindi cha kwanza ilipatikana dakika ya 30, wakati Kamusoko alipopokea mpira akiwa ndani ya eneo la hatari, lakini alishindwa kufanya uamuzi na kutoa pasi fyongo.
Mashambulizi mengine makubwa ya Yanga yalitokea dakika ya 14 na 17, kwa Obrey Chirwa na Geofrey Mwashiuya lakini hata hivyo hawakuwa makini na lango.

from Blogger http://ift.tt/2mIMmBH
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nRT2gY
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mJcwE8
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nAp44T
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nGqPu1
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mhACKf
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nGIfad
via IFTTT


Muungano wa Madaktari wa Kenya, Wakosoa Madaktari wa Tanzania Kufanya Kazi Kenya

Muungano wa Madaktari Kenya (The Kenya Medical Practitioners and Dentists Union – KMPDU) umepinga hatua ya serikali kuajiri madaktari toka Tanzania.
Wanasema kama Serikali ya Kenya wanahitaji Madaktari, wawaajiri kwanza madaktari 1,400 waliomo Nchini Kenya.
Tanzania imetoa Madaktari 500 kuitikia ombi la rais wa Kenya Uhuru Kenyata.
Hivi karibuni Kenya ilikumbwa na Mgomo mkubwa wa Madaktari wakishinikiza nyongeza ya Mshahara.
Source:
KMPDU Secretary General Ouma Oluga Criticises Government for Bringing Doctors From Tanzania
By JULIET MUTAHI
Kenya Medical Practitioners, Pharmacists and Dentists Union (KMPDU) Secretary General Ouma Oluga, has issued a new demand after Tanzanian President John Magufuli offered to send 500 doctors to Kenya.
Oluga demanded that the foreign medics must go through several procedures including undergoing an examination before they start working in the country.
The Secretary General criticised the government for seeking outside help yet there were many unemployed medical practitioners in Kenya.
He wondered why the government had to source for doctors from Tanzania yet it would pay the same money the local medics had been demanding for.
“Kenya has about 1,400 doctors awaiting employment. It would be very costly and therefore a show of imprudent public finance management to have 500 Tanzania doctors at Sh20,000 per day,” he said.
At the same time, Dr Oluga accused the government of failure to retain doctor’s in hospitals due to lack of proper working conditions.
He, however, assured that KMPDU would welcome the foreign practitioners and register them into the Union.
Earlier in the day, Magufuli had agreed to offer the 500 medics to help mitigate the effects of the recently called off strike following a request by President Uhuru Kenyatta.
He stated that there were many qualified and unemployed doctors who were ready to offer their services in Kenya.
Source: Government Issued New Demand After Magufuli Gives Kenya 500 Doctors

from Blogger http://ift.tt/2mh0S7A
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nS5zkh
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2n3ADzY
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nAsqF2
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nGkOxo
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mhL8B2
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2np8ZhU
via IFTTT


VIDEO: Tundu Lissu Alivyohutubia Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kuchaguliwa Kuongoza TLS

Mwanasheria Tundu Lissu ameibuka na ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa Rais wa chama cha wanasheria Tanganyika ‘TLS’.
Katika uchaguzi huo uliofanyika katika ukumbi wa kimataofa wa mikutano wa Arusha ‘AICC’ Lissu alitangazwa mshindi kwa kupata kura 1,411 kati ya kura 1,682 zilizopigwa.

from Blogger http://ift.tt/2mgXVDJ
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nRWN6a
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mJgEEa
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nAvfFZ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2naPtFg
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mhwBFv
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nGZgks
via IFTTT


Kategori

Kategori