Showing posts with label March 18. Show all posts
Showing posts with label March 18. Show all posts

Msemaji wa Jeshi la Polisi Uganda Auawa kwa Kupigwa Risasi..!!!.

Msemaji wa jeshi la polisi nchini Uganda Felix Kaweesi amepigwa risasi na kuuawa na watu wasiojulikana. Taarifa zinasema Bw Kaweesi ameuawa baada ya gari lake kumiminiwa risasi na watu wasiojulikana alipokuwa anaondoka kwake nyumbani Kulambiro, Kisaasi kaskazini mashariki mwa mji mkuu Kampala.
Walinzi wake wawili walioandamana naye pia wameuawa.
Bw Kaweesi aliteuliwa kuwa msemaji wa polisi Agosti mwaka jana.
Taarifa zinasema alikuwa njiani kwenda kuwahutubia wanafunzi katika chuo kikuu cha Uganda Christian University alipokumbana na mauti yake. Wanafunzi walikuwa tayari wamekusanyika ukumbini katika chuo hicho.
Miili ya watatu hao imepelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya Mulago.

from Blogger http://ift.tt/2mTmKCL
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2n8jcPc
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2n8qylW
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mZS1Ww
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mD3ac8
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mDetBb
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nCN445
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2n0firk
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nkTA2k
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mUgXNn
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nDt1Th
via IFTTT


Kimenukaa..Polisi Waanza Kamata Kamata kwa Wakazi wa Mabondeni,15 Tayari Wapo Selo..!!!

Watu kumi na tano wamekamatwa na jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salamu kwa kosa la kukaidi agizo la serikali lililowataka kuondoka maeneo ya mabondeni.
Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam Saimon Sirro amesema watu hao wamekamatwa na kupelekwa mahakamani kujibu mashtaka ya kukaidi kuhama maeneo hatarishi na kwamba eneo hilo ni mali ya halmashauri ya manispaa ya Ilala.
Hata hivyo kamanda Sirro amesema hali ya usalama katika jiji la Dar es Salaam imetengamaa, ambapo jeshi hilo limefanikiwa kudhibiti vikundi vya kihalifu.
Aidha jeshi hilo limefanikiwa kuwakamata wezi wa magari na uchunguzi bado unaendelea.

from Blogger http://ift.tt/2mTu3KM
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mZLDi4
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nCoe4C
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mZR5l1
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nyh9oT
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mD6owB
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nkC91X
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2n07cz4
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nQbJle
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mUuPag
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nlmmQi
via IFTTT


Msemaji wa Jeshi la Polisi Uganda Auawa kwa Kupigwa Risasi..!!!.

Msemaji wa jeshi la polisi nchini Uganda Felix Kaweesi amepigwa risasi na kuuawa na watu wasiojulikana. Taarifa zinasema Bw Kaweesi ameuawa baada ya gari lake kumiminiwa risasi na watu wasiojulikana alipokuwa anaondoka kwake nyumbani Kulambiro, Kisaasi kaskazini mashariki mwa mji mkuu Kampala.
Walinzi wake wawili walioandamana naye pia wameuawa.
Bw Kaweesi aliteuliwa kuwa msemaji wa polisi Agosti mwaka jana.
Taarifa zinasema alikuwa njiani kwenda kuwahutubia wanafunzi katika chuo kikuu cha Uganda Christian University alipokumbana na mauti yake. Wanafunzi walikuwa tayari wamekusanyika ukumbini katika chuo hicho.
Miili ya watatu hao imepelekwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya Mulago.

from Blogger http://ift.tt/2mTmKCL
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2n8jcPc
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2n8n82D
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mZXfBH
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2mD6hBb
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mCMUYW
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nCW7lQ
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2n0doXy
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nkTw2A
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mUxroL
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nDfTNT
via IFTTT


Kimenukaa..Polisi Waanza Kamata Kamata kwa Wakazi wa Mabondeni,15 Tayari Wapo Selo..!!!

Watu kumi na tano wamekamatwa na jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salamu kwa kosa la kukaidi agizo la serikali lililowataka kuondoka maeneo ya mabondeni.
Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam Saimon Sirro amesema watu hao wamekamatwa na kupelekwa mahakamani kujibu mashtaka ya kukaidi kuhama maeneo hatarishi na kwamba eneo hilo ni mali ya halmashauri ya manispaa ya Ilala.
Hata hivyo kamanda Sirro amesema hali ya usalama katika jiji la Dar es Salaam imetengamaa, ambapo jeshi hilo limefanikiwa kudhibiti vikundi vya kihalifu.
Aidha jeshi hilo limefanikiwa kuwakamata wezi wa magari na uchunguzi bado unaendelea.

from Blogger http://ift.tt/2mTu3KM
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mZLDi4
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nCeKX3
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mZUsrX
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nyaDyh
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mD6G6H
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nkqkbK
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2n0k8Vp
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nQhDT4
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mUA9dX
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nlmmzM
via IFTTT


Kategori

Kategori