Showing posts with label April 02. Show all posts
Showing posts with label April 02. Show all posts
Yanga wa Kimataifa Wafanya Kweli na Kuiondoa Simba Kileleni

Yanga wa Kimataifa Wafanya Kweli na Kuiondoa Simba Kileleni

YANGA SC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Sifa nyingi kwa mfungaji wa bao hilo, Mzambia Obrey Chirwa dakika ya 70 baada ya kumtoka beki wa Azam FC, Mghana Yakubu Mohamed kufuatia pasi ndefu ya kiungo Mnyarwanda, Haruna Niyonzima.
Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa wa kike mwenye beji ya FIFA, Deonesya Rukyaa wa Kagera, Yanga ilipata pigo dakika ya 30 baada ya kiungo wake Mzambia, Justin Zulu kuumia mguu wa kushoto na kushindwa kuendelea na mchezo nafasi yake kuchukuliwa na winga, Emmanuel Martin.
Zulu aliwekewa mguu na kiungo wa Azam FC, Himid Mao wakati anapiga shuti kuunga mpira uliorudi baada ya kuokolewa kufuatia krosi ya kiungo Haruna Niyonzima kutoka Rwanda.
Martin alikwenda kucheza wingi ya kulia na Niyonzima akahamia katikati kuchukua nafasi ya Zulu aliyekuwa akicheza kama kiungo mchezeshaji.
Mabadiliko hayo ambayo hayakuwa mipango ya mwalimu, yaligeuka msaada mkubwa kwa timu hiyo, kwani Niyozima alikwenda kucheza vizuri sehemu ya katikati ya Uwanja na Yanga ikaanza kushambulia.
Azam nao wakapata pigo dakika ya 43 baada ya mshambuliaji wake, Yahya Mohammed kuumia msuli baada ya kupiga shuti na kushindwa kuendelea nafasi yake ikichukuliwa na Mghana mwenzake, Samuel Afful.
Kipindi cha pili, timu zote zilirudi vizuri na zikaendelea kushambuliana kwa zamu, ingawa baada ya Yanga kupata bao dakika ya 70, wakaanza kucheza kwa kupoteza muda.
Ushindi huo unaifanya Yanga sasa ifikishe pointi 56 baada ya kucheza mechi 25 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ikiwaangushia nafasi ya pili mahasimu wao, Simba SC ambao kesho watacheza mechi ya 25 pia dhidi ya Kagera Sugar mjini Bukoba.
Kikosi cha Yanga kilikuwa; Deo Munishi ‘Dida’, Juma Abdul, Mwinyi Mngwali, Vincent Bossou, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Said Juma ‘Makapu’, Simon Msuva/Juma Mahadhi dk90+2, Justin Zulu/Emmanuel Martin dk30, Obrey Chirwa, Deus Kaseke/Geoffrey Mwashiuya dk54 na Haruna Niyonzima.
Azam; Aishi Manula, Erasto Nyoni, Gardiel Michael, Daniel Amoah, Yakubu Mohammed, Himid Mao, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, Frank Domayo, Yahya Mohmmed/Samuel Afful dk44, Shaaban Iddi/Bruce Kangwa dk75 na Ramadhani Singano ‘Messi’/Joseph Mahundi dk69.

from Blogger http://ift.tt/2nZelQP
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2owN0DB
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nwagk6
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2opl8V3
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2opGBNf
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nKZeZ7
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ntMdl9
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nx9bZf
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o0exPP
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oNXRbE
via IFTTT


Yanga wa Kimataifa Wafanya Kweli na Kuiondoa Simba Kileleni

Yanga wa Kimataifa Wafanya Kweli na Kuiondoa Simba Kileleni

YANGA SC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Sifa nyingi kwa mfungaji wa bao hilo, Mzambia Obrey Chirwa dakika ya 70 baada ya kumtoka beki wa Azam FC, Mghana Yakubu Mohamed kufuatia pasi ndefu ya kiungo Mnyarwanda, Haruna Niyonzima.
Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa wa kike mwenye beji ya FIFA, Deonesya Rukyaa wa Kagera, Yanga ilipata pigo dakika ya 30 baada ya kiungo wake Mzambia, Justin Zulu kuumia mguu wa kushoto na kushindwa kuendelea na mchezo nafasi yake kuchukuliwa na winga, Emmanuel Martin.
Zulu aliwekewa mguu na kiungo wa Azam FC, Himid Mao wakati anapiga shuti kuunga mpira uliorudi baada ya kuokolewa kufuatia krosi ya kiungo Haruna Niyonzima kutoka Rwanda.
Martin alikwenda kucheza wingi ya kulia na Niyonzima akahamia katikati kuchukua nafasi ya Zulu aliyekuwa akicheza kama kiungo mchezeshaji.
Mabadiliko hayo ambayo hayakuwa mipango ya mwalimu, yaligeuka msaada mkubwa kwa timu hiyo, kwani Niyozima alikwenda kucheza vizuri sehemu ya katikati ya Uwanja na Yanga ikaanza kushambulia.
Azam nao wakapata pigo dakika ya 43 baada ya mshambuliaji wake, Yahya Mohammed kuumia msuli baada ya kupiga shuti na kushindwa kuendelea nafasi yake ikichukuliwa na Mghana mwenzake, Samuel Afful.
Kipindi cha pili, timu zote zilirudi vizuri na zikaendelea kushambuliana kwa zamu, ingawa baada ya Yanga kupata bao dakika ya 70, wakaanza kucheza kwa kupoteza muda.
Ushindi huo unaifanya Yanga sasa ifikishe pointi 56 baada ya kucheza mechi 25 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ikiwaangushia nafasi ya pili mahasimu wao, Simba SC ambao kesho watacheza mechi ya 25 pia dhidi ya Kagera Sugar mjini Bukoba.
Kikosi cha Yanga kilikuwa; Deo Munishi ‘Dida’, Juma Abdul, Mwinyi Mngwali, Vincent Bossou, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Said Juma ‘Makapu’, Simon Msuva/Juma Mahadhi dk90+2, Justin Zulu/Emmanuel Martin dk30, Obrey Chirwa, Deus Kaseke/Geoffrey Mwashiuya dk54 na Haruna Niyonzima.
Azam; Aishi Manula, Erasto Nyoni, Gardiel Michael, Daniel Amoah, Yakubu Mohammed, Himid Mao, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, Frank Domayo, Yahya Mohmmed/Samuel Afful dk44, Shaaban Iddi/Bruce Kangwa dk75 na Ramadhani Singano ‘Messi’/Joseph Mahundi dk69.

from Blogger http://ift.tt/2nZelQP
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2owN0DB
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nwagk6
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2opl8V3
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2opGBNf
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nKZeZ7
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ntMdl9
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oq5DfL
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oqcyoP
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nwVidT
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oquZK6
via IFTTT


Yanga wa Kimataifa Wafanya Kweli na Kuiondoa Simba Kileleni

Yanga wa Kimataifa Wafanya Kweli na Kuiondoa Simba Kileleni

YANGA SC imerejea kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Sifa nyingi kwa mfungaji wa bao hilo, Mzambia Obrey Chirwa dakika ya 70 baada ya kumtoka beki wa Azam FC, Mghana Yakubu Mohamed kufuatia pasi ndefu ya kiungo Mnyarwanda, Haruna Niyonzima.
Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa wa kike mwenye beji ya FIFA, Deonesya Rukyaa wa Kagera, Yanga ilipata pigo dakika ya 30 baada ya kiungo wake Mzambia, Justin Zulu kuumia mguu wa kushoto na kushindwa kuendelea na mchezo nafasi yake kuchukuliwa na winga, Emmanuel Martin.
Zulu aliwekewa mguu na kiungo wa Azam FC, Himid Mao wakati anapiga shuti kuunga mpira uliorudi baada ya kuokolewa kufuatia krosi ya kiungo Haruna Niyonzima kutoka Rwanda.
Martin alikwenda kucheza wingi ya kulia na Niyonzima akahamia katikati kuchukua nafasi ya Zulu aliyekuwa akicheza kama kiungo mchezeshaji.
Mabadiliko hayo ambayo hayakuwa mipango ya mwalimu, yaligeuka msaada mkubwa kwa timu hiyo, kwani Niyozima alikwenda kucheza vizuri sehemu ya katikati ya Uwanja na Yanga ikaanza kushambulia.
Azam nao wakapata pigo dakika ya 43 baada ya mshambuliaji wake, Yahya Mohammed kuumia msuli baada ya kupiga shuti na kushindwa kuendelea nafasi yake ikichukuliwa na Mghana mwenzake, Samuel Afful.
Kipindi cha pili, timu zote zilirudi vizuri na zikaendelea kushambuliana kwa zamu, ingawa baada ya Yanga kupata bao dakika ya 70, wakaanza kucheza kwa kupoteza muda.
Ushindi huo unaifanya Yanga sasa ifikishe pointi 56 baada ya kucheza mechi 25 na kurejea kileleni mwa Ligi Kuu ikiwaangushia nafasi ya pili mahasimu wao, Simba SC ambao kesho watacheza mechi ya 25 pia dhidi ya Kagera Sugar mjini Bukoba.
Kikosi cha Yanga kilikuwa; Deo Munishi ‘Dida’, Juma Abdul, Mwinyi Mngwali, Vincent Bossou, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Said Juma ‘Makapu’, Simon Msuva/Juma Mahadhi dk90+2, Justin Zulu/Emmanuel Martin dk30, Obrey Chirwa, Deus Kaseke/Geoffrey Mwashiuya dk54 na Haruna Niyonzima.
Azam; Aishi Manula, Erasto Nyoni, Gardiel Michael, Daniel Amoah, Yakubu Mohammed, Himid Mao, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, Frank Domayo, Yahya Mohmmed/Samuel Afful dk44, Shaaban Iddi/Bruce Kangwa dk75 na Ramadhani Singano ‘Messi’/Joseph Mahundi dk69.

from Blogger http://ift.tt/2nZelQP
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2owN0DB
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nwagk6
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2opl8V3
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2opGBNf
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nKZeZ7
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ntMdl9
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oq5DfL
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nxh69d
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nZZm9t
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oNW3PZ
via IFTTT


Imefichukaaa..Baada ya Nape Kufukuzwa Uwaziri.. Sasa Mawaziri Njiapanda..!!!

Imefichukaaa..Baada ya Nape Kufukuzwa Uwaziri.. Sasa Mawaziri Njiapanda..!!!

Ingawa wengi walishangaa Rais John Magufuli alipotengua uteuzi wa Charles Kitwanga, mshangao haukuwa mkubwa.
Sifa ya Kitwanga kwa Magufuli ilikuwa ukaribu wake na kiongozi huyo wa nchi, kama Rais alivyowaeleza wananchi katika moja ya mikutano yake.
Ndani ya chama na Serikali, Kitwanga hakuwa na nguvu ya kuweza kushtua watu kutokana na kuvuliwa uwaziri.
Lakini kwa kijana aliyekulia ndani ya CCM, aliyejitoa kukipagania chama hicho, aliyediriki kuwa mstari wa mbele kushambulia walioonekana maadui wa chama na hata kuwasema hadharani mawaziri walioonekana kuwa mizigo, uamuzi wa kumuengua umeshtua wengi.
Na si kushtua pekee, bali unaonekana kutuma ujumbe kwa mawaziri wengine kuwa lolote laweza kutokea.
Nape Nnauye aliachwa katika mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais Magufuli takribani wiki mbili zilizopita. Alivuliwa wadhifa wake wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo aliyoishikilia kwa takriban mwaka mmoja.
Nafasi hiyo imechukuliwa na Dk Harrison Mwakyembe aliyekuwa Waziri wa Sheria na Katiba, nafasi iliyochukuliwa na mwanasheria nguli nchini, Profesa Palamagamba Kabudi.
Hakuna sababu zilizotolewa za kuachwa kwa Nape, lakini aliondolewa asubuhi ya siku ambayo angewasilisha kwa wakuu wake, akiwemo Rais, ripoti ya uvamizi wa kituo cha televisheni cha Clouds Media uliofanywa na kiongozi wa Serikali aliyeambatana na askari waliokuwa na silaha za moto.
Mbali na kuenguliwa, Nape alistahimili kukabiliana na askari kanzu waliotaka kumzuia asizungumze na waandishi wa habari kuhusu kuenguliwa kwake kwa kumtishia bastola, tukio lililomfanya aeleze kwa hisia kali jinsi alivyoisumbukia CCM, na hasa miezi 28 aliyoielezea kuwa ilimlaza “porini” kuikoa CCM iliyokuwa inazama.
Alielezea hayo yote akiwa juu ya gari baada ya Hoteli ya Prot
Akiwa kada aliyejipambanua kama mpambanaji wa ufisadi, miaka kumi iliyopita, Nape alimshambulia kwa maneno makali aliyekuwa mwenyekiti wa Baraza la Wadhamini la UVCCM, Edward Lowassa kwa madai ya kujihusisha na rushwa katika ujenzi wa jengo la kisasa la umoja huo.
Hata hivyo, Nape alishindwa kuthibitisha madai hayo na hivyo kusimamishwa uanachama wa umoja huo mwaka 2008. Baadaye Rais Jakaya Kikwete alitengua uamuzi huo.
Katika kuendelea kuandamwa na majanga ya kisiasa, mwaka 2010 Nape alipogombea ubunge Jimbo la Ubungo, aliishia katika kura za maoni, badala yake akapitishwa Hawa Ng’umbi ambaye hakummudu John Mnyika wa Chadema.
Kwa mara nyingine, Kikwete alijitokeza kuweka mambo sawa alipomteua kuwa Mkuu wa Wilaya ya Masasi mwaka 2010 na katika Mkutano wa Halmashauri Kuu wa mwaka 2011 akateuliwa kuwa katibu wa itikadi na uenezi.
Akishikilia nafasi hiyo, Nape alifanya kazi na makatibu wakuu wawili ambao ni Wilson Mukama na Abdulrahman Kinana, ambaye walizunguka naye karibu nchi nzima wakishutumu watendaji wa Serikali kuwa hawafuati ilani ya CCM ambayo iligubikwa na kashfa za ufisadi.
Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kumalizika, Nape aliteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Sifa hizo zilimfanya Nape awe mmoja wa mawaziri wachache waliokulia ndani ya CCM, lakini waziri pekee aliyepigana kuisafisha CCM katika kipindi ambacho ilikuwa inaonekana kuanza kupotez umaarufu.
Pamoja na kuingia ndani ya Serikali kwa mara ya kwanza, historia ya Nape ndani ya CCM ilimfanya aonekane kuwa na nguvu zaidi ya mawaziri wengine wazoefu katika baraza la sasa kama William Lukuvi (Ardhi na Makazi), Profesa Jumanne Maghembe (Maliasili na Utalii) na Dk Mwakyembe (Sheria na Katiba na sasa Habari).
Lakini kuachwa kwake sasa kunaweka maswali kama kuna waziri mwingine anaweza kujisikia salama.
Wasomi watoa mtazamo
Wakizungumzia suala hilo, baadhi ya wasomi walisema kuachwa kwa Nape ni tahadhari kwa mawaziri wengine kuwa makini na Rais iwapo wanataka kuendelea kudumu madarakani.
“Hakuna mtu aliye juu ya chama wala hakuna aliye juu ya Serikali. Hata kama umefanya kazi kiasi gani, ukienda kinyume usishangae litakalokupata,” alisema Salim Hamad ambaye ni mhadhiri wa sayansi ya siasa wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT).
“Serikalini kuna kitu kinachoitwa collective responsibility (uwajibikaji wa pamoja), hicho naona kilimpitia pembeni Nape.”.
Hata hivyo, alisema Serikali ya Magufuli haina mwelekeo unaoeleweka kiasi kwamba mawaziri nao wanashindwa cha kufuata.
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Profesa George Shumbusho alisema Nape ni kiongozi wa Serikali haiwezekani aipinge hadharani akabaki.
“Haiwezekani kiongozi wa Serikali halafu uipinge hadharani, hiyo ni rahisi tu,” alisema Profesa Shumbusho.
Hata hivyo, Nape hakupinga uamuzi wa Serikali, bali alipingana na uvamizi wa kiongozi wa Serikali kwenye studio za kampuni ya Clouds Media.

from Blogger http://ift.tt/2nNO9YT
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nt6eby
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nNS1cu
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2opvxzX
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oxcf8P
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nKVve9
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2n1qUvW
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2opQtqF
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oqkgiB
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o00f1U
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oqiuOR
via IFTTT


Kategori

Kategori