Showing posts with label 2017 at 10:25AM. Show all posts
Showing posts with label 2017 at 10:25AM. Show all posts
MANENO Aliyoandika Mbunge Halima Mdee Kuhusu Tamko la Askofu Gwajima

MANENO Aliyoandika Mbunge Halima Mdee Kuhusu Tamko la Askofu Gwajima

Baada ya Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dr. Josephat Gwajima leo April 9, 2017 kumtaka Halima Mdee Mbunge wa CHADEMA kumuomba radhi Spika wa Bunge Job Ndugai kwa maelezo kuwa alimtukana, jioni hii kupitia Twitter ya Mbunge huyo ameandika kuhusu kinachoendelea kati yake na Spika Ndugai.
Mdee ameandika :

’Namuheshimu sana Mch. Gwajima,sitajibizana nae kwenye mitandao. Niweke rekodi sawa sijamtukana na wala sitarajii kumkosea heshima Spika.
Hayo ya J2 namwachia yeye! Yangu na yaliyojiri Bungeni.. Najua jinsi ya kuyahandle. Yawezekana yalishamalizwa kabla ya Ibada yake LEO.

from Blogger http://ift.tt/2ohcUwT
via IFTTT


Luke Shaw sio wa kwanza kupondwa na Mourinho.

Luke Shaw sio wa kwanza kupondwa na Mourinho.

Mourinho na Luke Shaw hapakaliki, kumekuwa na vijembe nje nje huku Mourinho akimuita Shaw mtoto. Lakini hii si mara ya kwanza kwa Mourinho kumuona mchezaji bora hafai kwani hapo hapo ndani ya Manchester United ameshakwaruzana na Martial, lakini tuone wengine ambao ameshawahi kwaruzana nao lakini wakawa bora.
Juan Mata. Jose Mourinho ndio aliyemuuza Martial kwenda Chelsea, Mourinho alitoa madai mengi kuhusu Mata akidai na mvivu, hakabi na hafai katika mfumo wake. Baadae Mourinho alimuuza Mata kwenda United ambako sasa anafundisha. Lakini sasa Mourinho ni kama anazikana kauli zake kuhusu Mata kwani ni kati ya wachezaji wanaoanza katika kikosi chake.
Samuel Etoo. Ka unakumbuka wakati Etoo yuko Chelsea aliingia katika mzozo na Mourinho. Mzozo kati ya Etoo na Mourinho ulianza baada ya Mourinho kudai Etoo amezeeka. Lakini Etoo aliendelea kupambana katika kikosi hicho na akaendelea kufunga ikiwemo hat trick dhidi ya Manchester United.
Kelvin De Bruyne. Mourinho hakuvutiwa kabisa na kiwango cha De Bruyne wakati akiwa Chelsea ndipo aliamua kumuuza kwenda Ujerumani, baadaye De Bruyne alianza kugeuka lulu na kuanza kugombaniwa na sasa yuko Man City ambako nako anaonekana ni kati ya viungo bora kabisa katika EPL.
Romelu Lukaku. Ni kama Mourinho hakuwa anawataka Wabelgiji, kama ilivyo kwa De Bruyne Mourinho alimuona Lukaku sii lolote katika timu yake na kumuacha aende Everton. Lukaku sasa ndio anaongoza kwa magoli Epl na amekuwa akigombaniwa na timu nyingi ikiwemo Manchester Unite wenyewe.
David Luiz. Wakati anamuuza kwenda PSG Mourinho alisema Luiz hatakumbukwa katika timu ya Chelsea, hii ilitokana na Mou kuamini mabeki aliokuwa nal katika kikosi chake. Baadae Chelse chini ya Conte walifunga safari kwenda mjini Paris kumnunua na sas amekuwa lulu katika klabu ya Chelsea

from Blogger http://ift.tt/2o46saM
via IFTTT


Kategori

Kategori