Showing posts with label 2017 at 10:07PM. Show all posts
Showing posts with label 2017 at 10:07PM. Show all posts
Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Msanii Agnes Waya, maarufu Masogange anatarajiwa kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo wakati kesi yake ya tuhuma za kutumia dawa za kulevya inapokuja kwa kutajwa na kuangalia kama upelelezi umekamilika au la.
Masogange anatarajiwa kufikishwa mbele ya Hakimu Mkazi, Wilbard Mashauri wa mahakama hiyo, ambaye ndiye anasikiliza kesi hiyo.
Mara ya mwisho kesi hiyo ilipotajwa mahakamani hapo hakimu huyo alimpa onyo mshtakiwa huyo baada ya kuchelewa kufika katika chumba cha mahakama, hatua iliyofikiwa baada ya Wakili wa Masogange, Nictogen Itege kuieleza mahakama kuwa mteja wake yuko njiani anakuja.
Taarifa hiyo ilisababisha, Hakimu Mashauri kumuhoji kuwa mbona yeye yupo mahakamani? Akadai kuwa walipita njia tofauti ndiyo sababu ikatokea kuwa mmoja kafika mwingine bado.
Hakimu Mashauri alisema mteja wake anatakiwa afuate masharti ya dhamana na mamlaka. Hata hivyo, baada ya muda kidogo Masogange alionekana katika viwanja vya Mahakama wakati kesi yake tayari ilikuwa imeahirishwa.
Awali, akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali Constantine Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 katika maeneo yasiyojulikana ndani ya Jiji la Dar es Salaam Masogange alitumia dawa za kulevya aina ya Heroin (Diacety Imophine).
Katika shtaka la pili, Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 mtuhumiwa huyo alitumia dawa za kulevya aina ya Oxazepam na kwamba alifanya makosa hayo chini ya kifungu cha 18 (a) cha Sharia ya Kupambana na Dawa za Kulevya namba 5 ya mwaka 2015.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo, Masogange alikana na yuko nje kwa dhamana ya wadhamini wawili waliosaini bondi ya Sh. milioni 10.

from Blogger http://ift.tt/2pGcZvI
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o7jzv4
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o7Aeif
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pGmWcy
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oTYjpS
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oUBsdG
via IFTTT


VIDEO: “Sinema Zetu Zina Mapungufu Mengi Lakini Hiyo Sio Sababu za Kuacha Kudai Haki zetu” – JB

Siku chache baada ya mastaa wa Bongo movie kuandamana hadi Kariakoo wakitaka filamu za kigeni zizuiliwe nchini, kumeibuka hoja mbalimbali huku watu wengi wakioneshwa kutofurahia uamuzi huo.

Mastaa hao wa Bongo movie wakiongozwa na staa wa muda mrefu Jacob Stephen ‘JB’ wamedai kuwa kufanya hivyo ni kutokana na ukweli kwamba wanataka kuzipa nafasi zaidi filamu za Tanzania.

Kutokaka na kukosolewa kwa kitendo hicho na wadau mbalimbali nchini JB ametumia account yake ya Instagram kutoa ufafanuzi zaidi ambapo moja ya mambo aliyoyagusia ni kuwataka watu kutohusisha kila kitu na siasa akisema pia kuwa kwenye shida hatojali nani anamsaidia alimradi anagusa maslahi yake.
Bonyeza play kutazama hapa chini… 

from Blogger http://ift.tt/2pGfUSr
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o7qO6u
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oTpm4J
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pGvqk5
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o83LZ4
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pHPfqX
via IFTTT


Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Msanii Agnes Waya, maarufu Masogange anatarajiwa kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo wakati kesi yake ya tuhuma za kutumia dawa za kulevya inapokuja kwa kutajwa na kuangalia kama upelelezi umekamilika au la.
Masogange anatarajiwa kufikishwa mbele ya Hakimu Mkazi, Wilbard Mashauri wa mahakama hiyo, ambaye ndiye anasikiliza kesi hiyo.
Mara ya mwisho kesi hiyo ilipotajwa mahakamani hapo hakimu huyo alimpa onyo mshtakiwa huyo baada ya kuchelewa kufika katika chumba cha mahakama, hatua iliyofikiwa baada ya Wakili wa Masogange, Nictogen Itege kuieleza mahakama kuwa mteja wake yuko njiani anakuja.
Taarifa hiyo ilisababisha, Hakimu Mashauri kumuhoji kuwa mbona yeye yupo mahakamani? Akadai kuwa walipita njia tofauti ndiyo sababu ikatokea kuwa mmoja kafika mwingine bado.
Hakimu Mashauri alisema mteja wake anatakiwa afuate masharti ya dhamana na mamlaka. Hata hivyo, baada ya muda kidogo Masogange alionekana katika viwanja vya Mahakama wakati kesi yake tayari ilikuwa imeahirishwa.
Awali, akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali Constantine Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 katika maeneo yasiyojulikana ndani ya Jiji la Dar es Salaam Masogange alitumia dawa za kulevya aina ya Heroin (Diacety Imophine).
Katika shtaka la pili, Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 mtuhumiwa huyo alitumia dawa za kulevya aina ya Oxazepam na kwamba alifanya makosa hayo chini ya kifungu cha 18 (a) cha Sharia ya Kupambana na Dawa za Kulevya namba 5 ya mwaka 2015.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo, Masogange alikana na yuko nje kwa dhamana ya wadhamini wawili waliosaini bondi ya Sh. milioni 10.

from Blogger http://ift.tt/2pGcZvI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oTkpJ2
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pGDSzt
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oTStoH
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oUCUgu
via IFTTT


Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Agness Masogange Mahakamani Tena Leo

Msanii Agnes Waya, maarufu Masogange anatarajiwa kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo wakati kesi yake ya tuhuma za kutumia dawa za kulevya inapokuja kwa kutajwa na kuangalia kama upelelezi umekamilika au la.
Masogange anatarajiwa kufikishwa mbele ya Hakimu Mkazi, Wilbard Mashauri wa mahakama hiyo, ambaye ndiye anasikiliza kesi hiyo.
Mara ya mwisho kesi hiyo ilipotajwa mahakamani hapo hakimu huyo alimpa onyo mshtakiwa huyo baada ya kuchelewa kufika katika chumba cha mahakama, hatua iliyofikiwa baada ya Wakili wa Masogange, Nictogen Itege kuieleza mahakama kuwa mteja wake yuko njiani anakuja.
Taarifa hiyo ilisababisha, Hakimu Mashauri kumuhoji kuwa mbona yeye yupo mahakamani? Akadai kuwa walipita njia tofauti ndiyo sababu ikatokea kuwa mmoja kafika mwingine bado.
Hakimu Mashauri alisema mteja wake anatakiwa afuate masharti ya dhamana na mamlaka. Hata hivyo, baada ya muda kidogo Masogange alionekana katika viwanja vya Mahakama wakati kesi yake tayari ilikuwa imeahirishwa.
Awali, akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali Constantine Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 katika maeneo yasiyojulikana ndani ya Jiji la Dar es Salaam Masogange alitumia dawa za kulevya aina ya Heroin (Diacety Imophine).
Katika shtaka la pili, Kakula alidai kuwa kati ya Februari 7 na 14, 2017 mtuhumiwa huyo alitumia dawa za kulevya aina ya Oxazepam na kwamba alifanya makosa hayo chini ya kifungu cha 18 (a) cha Sharia ya Kupambana na Dawa za Kulevya namba 5 ya mwaka 2015.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo, Masogange alikana na yuko nje kwa dhamana ya wadhamini wawili waliosaini bondi ya Sh. milioni 10.

from Blogger http://ift.tt/2pGcZvI
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o7jzv4
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o7Aaiv
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pGEEg6
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o7WQPu
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pHtEPw
via IFTTT


NAAMINI Atakachofanywa North Korea na Marekani Kitakuwa ni Funzo Ulimwenguni

NAAMINI Atakachofanywa North Korea na Marekani Kitakuwa ni Funzo Ulimwenguni

North Korea ni Nchi ndogo sana kwa Marekani, Tukianza na Umbo hadi Teknolojia! Yaani huwezi amini mabomu wanayoyafanyia majaribio leo N. Korea wenzao marekani waliwarushiaga Japan mwaka 1945 Ni kichekesho kikubwa kwa N. Korea kutaka kupigana na Marekani! Bomu moja la nikotini 100,000 tu linaweza kuipasua North Korea na South Korea kwa mkupuo mmoja! Af mzee wa kiduku anasimama bila hata uwoga kuanza kuwatisha marekani!! aka Shetani wa dunia! aka Wababe wa historia! Wakuu wa Teknolojia, wanaoheshimiwa na warusi na wajerumani. Wazee, serious Hivi huyu kiduku amevuta bhange?
Af jambo jingine bandugu kumbukeni hii sio mechi ya mpira hili jambo linaenda kuua mamilioni ya watu ulimwenguni hivyo hatutakiwi kuwa na ushabiki wa kijinga wakati inajulikana wazi hii ni vita ya panya na simba!

from Blogger http://ift.tt/2opYJDk
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2piZItd
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o7oQDf
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pGyixb
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o7U6SB
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oOTPm8
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oUzXfA
via IFTTT


VIDEO: “Sinema Zetu Zina Mapungufu Mengi Lakini Hiyo Sio Sababu za Kuacha Kudai Haki zetu” – JB

Siku chache baada ya mastaa wa Bongo movie kuandamana hadi Kariakoo wakitaka filamu za kigeni zizuiliwe nchini, kumeibuka hoja mbalimbali huku watu wengi wakioneshwa kutofurahia uamuzi huo.

Mastaa hao wa Bongo movie wakiongozwa na staa wa muda mrefu Jacob Stephen ‘JB’ wamedai kuwa kufanya hivyo ni kutokana na ukweli kwamba wanataka kuzipa nafasi zaidi filamu za Tanzania.

Kutokaka na kukosolewa kwa kitendo hicho na wadau mbalimbali nchini JB ametumia account yake ya Instagram kutoa ufafanuzi zaidi ambapo moja ya mambo aliyoyagusia ni kuwataka watu kutohusisha kila kitu na siasa akisema pia kuwa kwenye shida hatojali nani anamsaidia alimradi anagusa maslahi yake.
Bonyeza play kutazama hapa chini… 

from Blogger http://ift.tt/2pGfUSr
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o7qO6u
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oTruJU
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pGxuZe
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oU8UkV
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pHs4gE
via IFTTT


Kategori

Kategori