Showing posts with label 2017 at 10:03AM. Show all posts
Showing posts with label 2017 at 10:03AM. Show all posts
HIVI Ndivo Msanii TID Alivyorudi Polisi Central Kwa Mara Nyengine

HIVI Ndivo Msanii TID Alivyorudi Polisi Central Kwa Mara Nyengine

Mwimbaji TID aka Mnyama kama anavyopenda kuitwa, ametishia kutinga katika kituo cha kati cha polisi jijini Dar es Salaam kuwasilisha malalamiko yake dhidi ya Quick Rocka na kundi la OMG.
TID ambaye ana historia ya kufikishwa yeye kwenye kituo ha polisi na hata kufungwa miezi kadhaa, sasa amebadili upepo na yeye anahitaji haki yake kisheria.
Kupitia mtandao wa Instagram, Mnyama ametishia kufika polisi kuwasilisha malalamiko yake kutokana na kile alichodai kundi la OMG na Bosi wao Quick wametumia wimbo wake ‘Watasema’ bila ruhusa yake. Hivyo, anahitaji kulipwa angalau milioni 20 kama kifuta jasho kwa kazi yake iliyowahi kushinda tuzo mbili.
“Wat is this….?! Hivi ndio mnapata Magari yenu!? @quickrocka & @omgtanzania we need to TALK #Watasema, ameandia msanii huyo. Naomba tukutane Central Police huwezi kutumia Haki zangu hivihivi Kabla sijafanya kitu kibaya nahitaji million 20 compensation… This song ni Awards mbili Za Kisima Music Awards 2005 inKenya u can’t just Steal it, Unalala Ndani Leo.” ameandika TID.
‘Watasema’ ni hit ya miaka mingi iliyopita, ambapo TID alimshirikisha Naaziz, malkia wa michano kutoka Necessary Noise ya Kenya.
ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2sHyHQz
via IFTTT


Harmorapa Anusurika Kupondwa Chupa Akiwa Jukwaani..!!!

Harmorapa Anusurika Kupondwa Chupa Akiwa Jukwaani..!!!

Usiku wa Jumamosi hii Harmorapa amenusurika kujeruhiwa vibaya na chupa wakati alipokuwa akitumbuiza katika ukumbi wa Maisha Basement uliopo Kijitonyama katika usiku wa Komela.
Akiongea na kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio leo, meneja wa rapper huyo Irene Sabuka amesema, Harmorapa alirushiwa chupa lakini kwa bahati nzuri alikwepa la sivyo yangekuwa yanazungumzwa mengine.
“Kiukweli hili jambo la kusikitisha sana, Harmorapa alikuwa stejini ana perfom ila kabla ya kumaliza show alitokea mtu mmoja akarusha chupa stejini bahati nzuri Harmorapa alikwepa ile chupa. Laiti asingekwepa au ingemkuta kwa bahati mbaya sasa hivi tungekuwa tunazungumza mengine,” amesema meneja huyo.
“Mimi naona kile kitendo ni wivu tu sababu watu hawajui maisha kila mtu ana namna yake anayotokea. Harmorapa ametokea mtaani anatafuta maisha yake leo anaibuka mtu anamrushia chupa na kutaka kumjeruhi, anaibuka mtu mwingine anasema kuwa anataka kumuonesha na kukomesha,” ameongez

from Blogger http://ift.tt/2oDVlFF
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oE6NRI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2owQd9d
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oUhQW7
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nXKhov
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nXYv8F
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oya8Vd
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oyb2AR
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nAms2B
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nTL2xa
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ozeCuN
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oyRvAG
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nUkFar
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nHswag
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nBXmjN
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oY8Mzg
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oGj3kD
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nC8xJn
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o1klIB
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nIG59r
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oAPqnM
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oZr2IF
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nWNxi0
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oHFnu7
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nJRN3P
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nEopLy
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oCkpA6
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p1Sy8A
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oKaqFr
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p2phdN
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2ncxfon
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2obOxRQ
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nMu82B
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nMCyHf
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nG1kYG
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nGAoIb
via IFTTT


Harmorapa Anusurika Kupondwa Chupa Akiwa Jukwaani..!!!

Harmorapa Anusurika Kupondwa Chupa Akiwa Jukwaani..!!!

Usiku wa Jumamosi hii Harmorapa amenusurika kujeruhiwa vibaya na chupa wakati alipokuwa akitumbuiza katika ukumbi wa Maisha Basement uliopo Kijitonyama katika usiku wa Komela.
Akiongea na kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio leo, meneja wa rapper huyo Irene Sabuka amesema, Harmorapa alirushiwa chupa lakini kwa bahati nzuri alikwepa la sivyo yangekuwa yanazungumzwa mengine.
“Kiukweli hili jambo la kusikitisha sana, Harmorapa alikuwa stejini ana perfom ila kabla ya kumaliza show alitokea mtu mmoja akarusha chupa stejini bahati nzuri Harmorapa alikwepa ile chupa. Laiti asingekwepa au ingemkuta kwa bahati mbaya sasa hivi tungekuwa tunazungumza mengine,” amesema meneja huyo.
“Mimi naona kile kitendo ni wivu tu sababu watu hawajui maisha kila mtu ana namna yake anayotokea. Harmorapa ametokea mtaani anatafuta maisha yake leo anaibuka mtu anamrushia chupa na kutaka kumjeruhi, anaibuka mtu mwingine anasema kuwa anataka kumuonesha na kukomesha,” ameongez

from Blogger http://ift.tt/2oDVlFF
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oE6NRI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2owQd9d
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oUhQW7
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nXKhov
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nXYv8F
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oya8Vd
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oyb2AR
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nAms2B
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nTL2xa
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ozeCuN
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oyRvAG
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nUkFar
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nHswag
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nBXmjN
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oY8Mzg
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oGj3kD
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nC8xJn
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o1klIB
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nIG59r
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oAPqnM
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oZr2IF
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nWNxi0
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oHFnu7
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nJRN3P
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nEopLy
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oCkpA6
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p1Sy8A
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oKaqFr
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p2phdN
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2ncxfon
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2obOxRQ
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nLZyG9
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oFAc0q
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o5rEPu
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2necEjw
via IFTTT


Kategori

Kategori