Showing posts with label 2017 at 10:02PM. Show all posts
Showing posts with label 2017 at 10:02PM. Show all posts
WAVUVI 53 WAOKOLEWA BAADA YA MASHUA KUZAMA BAHARINI ZANZIBAR

WAVUVI 53 WAOKOLEWA BAADA YA MASHUA KUZAMA BAHARINI ZANZIBAR

Wavuvi 53 waokolewa baada ya mashua yao ya uvuvi kuzama nje kidogo ya pwani ya Zanzibar.
Msemaji wa Mamlaka ya Usafiri wa Baharini Zanzibar, Bi Shekha Ahmed Mohamed alieleza kuwa shughuli ya kuwatafuta na kuwaokoa wahanga wa ajali hiyo iliyofanywa na tasisi ya uokozi imefanikiwa kuwaokoa wavuvi wote wakiwa hai, ambapo 44 waliokolewa mapema na wengine 9 kuokolewa baada ya kukaa baharini kwa zaidi ya saa 24.
“Watatu kati ya hao hawakuwa na hali nzuri na walifikishwa katika hospitali ya Kivunge kwa ajili ya matibabu” alisema
Kaimu Mkurugenzi wa kitengo cha Ujasusi, Makarani Mohamed alisema kuwa chanzo cha ajali hiyo kinasadikika kuwa ni hali mbaya ya upepo na mawimbi makali yaliyokuwa baharini kwa wakati huo.
“Tunafahamu kuwa ajali hiyo ilisababshwa na upepo na mawimbi makali yaliyosababisha mashua hiyo kuzama”
Mvuvi mmoja aliyenusurika katika ajali hiyo aliwaambia waokoaji kuwa mashua hiyo iliondoka jana jioni na watu takriban 53 kwenda kuvua samaki wakati hali ya bahari ikiwa shwari na tulivu. Lakini hali ya hewa ilibadilika na kusababisha mawimbi makali baharini na kuongeza kuwa tokea ajali hiyo itokee hajamwona mwenzake hata mmoja.
Mkuu wa kituo cha Mamlaka ya Usafiri Baharini Mkoa wa Kaskazini Unguja, Pandu Juma Pandu amesema kuwa wako katika mchakato wa kuvisajili vyombo vya usafiri wa baharini ili kujua uzima na uimara wake, shughuli ambayo ilikuwa ikifanywa na idara ya uvuvi hapo awali.
Hata hivyo uvuvi katika kisiwa cha Zanzibar ndiyo shughuli kuu ya wakazi wa huko na mashua nyingi huwa katika hali ya uchakavu jambo ambalo ni hatarishi kwa usalama wa wavuvi wawapo baharini.

from Blogger http://ift.tt/2nHzUBD
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oMvsmW
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ng587I
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oIqtGQ
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oe6Bun
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oJdgNV
via IFTTT


Harmorapa Anusurika Kupondwa Chupa Akiwa Jukwaani..!!!

Harmorapa Anusurika Kupondwa Chupa Akiwa Jukwaani..!!!

Usiku wa Jumamosi hii Harmorapa amenusurika kujeruhiwa vibaya na chupa wakati alipokuwa akitumbuiza katika ukumbi wa Maisha Basement uliopo Kijitonyama katika usiku wa Komela.
Akiongea na kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio leo, meneja wa rapper huyo Irene Sabuka amesema, Harmorapa alirushiwa chupa lakini kwa bahati nzuri alikwepa la sivyo yangekuwa yanazungumzwa mengine.
“Kiukweli hili jambo la kusikitisha sana, Harmorapa alikuwa stejini ana perfom ila kabla ya kumaliza show alitokea mtu mmoja akarusha chupa stejini bahati nzuri Harmorapa alikwepa ile chupa. Laiti asingekwepa au ingemkuta kwa bahati mbaya sasa hivi tungekuwa tunazungumza mengine,” amesema meneja huyo.
“Mimi naona kile kitendo ni wivu tu sababu watu hawajui maisha kila mtu ana namna yake anayotokea. Harmorapa ametokea mtaani anatafuta maisha yake leo anaibuka mtu anamrushia chupa na kutaka kumjeruhi, anaibuka mtu mwingine anasema kuwa anataka kumuonesha na kukomesha,” ameongez

from Blogger http://ift.tt/2oDVlFF
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oE6NRI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2owQd9d
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oUhQW7
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nXKhov
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nXYv8F
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oya8Vd
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oyb2AR
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nAms2B
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nTL2xa
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ozeCuN
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oyRvAG
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nUkFar
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nHswag
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nBXmjN
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oY8Mzg
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oGj3kD
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nC8xJn
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o1klIB
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nIG59r
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oAPqnM
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oZr2IF
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nWNxi0
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oHFnu7
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nJRN3P
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nEopLy
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oCkpA6
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p1Sy8A
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oKaqFr
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p2phdN
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2ncxfon
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2obOxRQ
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nMu82B
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nMCyHf
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nG1kYG
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nGAoIb
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2ocKwMS
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o5Imhs
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oMFxAh
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nOa5AP
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2p5kjwO
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oIlh5L
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2odVaTr
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p6ngNA
via IFTTT


Kategori

Kategori