Showing posts with label 2017 at 04:03PM. Show all posts
Showing posts with label 2017 at 04:03PM. Show all posts
Harmorapa Anusurika Kupondwa Chupa Akiwa Jukwaani..!!!

Harmorapa Anusurika Kupondwa Chupa Akiwa Jukwaani..!!!

Usiku wa Jumamosi hii Harmorapa amenusurika kujeruhiwa vibaya na chupa wakati alipokuwa akitumbuiza katika ukumbi wa Maisha Basement uliopo Kijitonyama katika usiku wa Komela.
Akiongea na kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio leo, meneja wa rapper huyo Irene Sabuka amesema, Harmorapa alirushiwa chupa lakini kwa bahati nzuri alikwepa la sivyo yangekuwa yanazungumzwa mengine.
“Kiukweli hili jambo la kusikitisha sana, Harmorapa alikuwa stejini ana perfom ila kabla ya kumaliza show alitokea mtu mmoja akarusha chupa stejini bahati nzuri Harmorapa alikwepa ile chupa. Laiti asingekwepa au ingemkuta kwa bahati mbaya sasa hivi tungekuwa tunazungumza mengine,” amesema meneja huyo.
“Mimi naona kile kitendo ni wivu tu sababu watu hawajui maisha kila mtu ana namna yake anayotokea. Harmorapa ametokea mtaani anatafuta maisha yake leo anaibuka mtu anamrushia chupa na kutaka kumjeruhi, anaibuka mtu mwingine anasema kuwa anataka kumuonesha na kukomesha,” ameongez

from Blogger http://ift.tt/2oDVlFF
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oE6NRI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2owQd9d
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oUhQW7
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nXKhov
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nXYv8F
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oya8Vd
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oyb2AR
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nAms2B
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nTL2xa
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ozeCuN
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oyRvAG
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nUkFar
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nHswag
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nBXmjN
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oY8Mzg
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oGj3kD
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nC8xJn
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o1klIB
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nIG59r
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oAPqnM
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oZr2IF
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nWNxi0
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oHFnu7
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nJRN3P
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nEiBSh
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nbCC7l
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oCoq7F
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2p1WeHw
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oKbrgT
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oD7jCy
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2ncGcOk
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nM5O0H
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2ncI5dM
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nM7EyU
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nGi81z
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2ne2i3e
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oG5iVW
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oLIdy9
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nevRS7
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o0Jtxk
via IFTTT


BREAKING NEWS: MBUNGE NAPE NAUYE AITAJA SIKU NA MAHALI KUELEZEA UKWELI WOTE

BREAKING NEWS: MBUNGE NAPE NAUYE AITAJA SIKU NA MAHALI KUELEZEA UKWELI WOTE

Mbunge wa jimbo la Mtama mkoani Lindi kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema kuwa Jumamosi April 8, 2017 atakuwa jimboni kwake ambapo atazungumza na wapiga kura wake kuwaeleza ukweli wa mambo yaote yaliyotokea.
napewaziri
Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Nape Nnauye amendika kuwa, “Shukrani kwa wote mlioniunga mkono katika kusimamia haki. Narudi Mtama kuwaeleza wapiga kura wangu UKWELI WOTE. Ni Jmosi hii tar 8/4/17.”
Kauli hii ya Nape Nnauye imekuja ikiwa ni wiki mbili sasa tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli alipotengua uteuzi wake kama Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Nape aliiongoza wizara hiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja, na uteuzi wake ulitenguliwa Machi 23 mwaka huu ikiwa nu siku moja baada ya kukabidhiwa ripoti kuhusu uvamizi wa ofisi za Clouds Media Group tukio ambalo linadaiwa kufanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.

from Blogger http://ift.tt/2oHKGfJ
via IFTTT


Kategori

Kategori