Mtu mmoja amefariki dunia baada ya kutokea ajali ya basi la abiria/daladala (T 435 DGG) kutoka Gongo la Mboto kwenda Mnazi Mmoja kuigonga treni ya Pugu leo Aprili 19, 2017 saa 11 alfajiri katika makutano ya reli na barabara ya Nkurumah jijini Dar es Salaam.
Majeruhi wa ajali ni 23 , wanane wapo hospitali ya Amana na waliobakia 15 wapo Hospitali ya Taifa Muhimbili MOI watatu kati yao ni mahututi. Taarifa zaidi itatolewa kuhusu ajali hiyo.
Hata hivyo treni ya Pugu inaendelea na huduma zake kwa kufuata ratiba.
Imetolewa na Afisi ya Uhusiano kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TRL
Nd. Focus Sahani,
Dar es Salaam,
Aprili 19, 2017.
from Blogger http://ift.tt/2on0otm
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2pBKqgc
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2onmk7L
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2o4bck1
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2pDovIb
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2o5bMOs
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2pE2hTB
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2o5nn05
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2ooFZ7d
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2phQ3mv
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2ooY0lT
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2pEROqV
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2opndMY
via IFTTT