Mkuu wa Mkoa Njombe awasili akemea wapinga maendelea asema atakomaa nao








MKUU  wa Njombe Dkt. Rehema Nchimbi amesema kuwa watakuwa mkali kwa viongozi wa siasa watakao wadanganya wananchi na kuwa ujenzi wa maabara ndio unakao waongezea kura viongozi wa siasa kama watakamilisha mapema.

Wito huo umetolewa wakati wa hafla fupi ya kukaribishwa mkoani Njombe, Alisema kuwa kwa chama chochote kitakacho wadanganya wananchi atakuwa mkali na hatakubaliana,na kuwataka viongozi hao wajitahidi kuwaunganisha wananchi na sio kuwadanganya.

“Sitakubari kuona viongozi wa siasa kutoka chama chochote kitakacho wadanganya wananchi eti serikali haijafanya chochote  huo ni uongo na nitapambana nao,” alisema Dkt. Nchimbi.

Alisema kuwa kwa suala la ujenzi wa maabara wananchi wasidanganywe kuwa zisubiri uchaguzi vitu vyote vitasimama lakini si ujenzi huo ni razima ukamilike katika shule kila shule katika mkoa huu.

Alisema kuwa ujenzi huo utalipatia taifa wataalamu wa Sayansi na kuwa viongozi wa siasa wasidanganywe kuwa ujenzi wa baabara utampunguzia kura na kuwa mtu atakaye sema kuwa maabara zitawanyima kura huyo ndio mchawi wa kura za viongozi watakao gombea tena.

“Mtu atakaye jitokeza kupinga maabara na kukuambia kiongozi kuwa ujenzi huo utakunyima kura basi huyo ndio mchawi wa kura zako maabara ndio chanzo cha kura zako ukikamilisha ujenzi wa maabara utaweza kupata ushindi wa kishindo, kwa sababu maabara ni razima ni kwamaslahi ya watoto wetu ili wafanye vizuri katika masomo ya sayansi ” aliongeza Dkt. Nchimbi.

Alisema kuwa hatopenda kusikia kero yoyote ya kusumbuliwa kwa wananchi na kuwa watendaji na viongozi wa siasa wanapo tekeleza mirandi mbalimbali wasiwape kero wananchi na kuwa wawaelimishe wananchi miradi hiyo kabla ya kuanza kutekeleza.

Dkt. Nchimbi aliongeza kuwa anatoa onyo kwa watendaji wanao pitisha misako ya kodi na kusababisha kero kwa wananchi kwa kisa cha kutekeleza majukumu ya kazi kwani wenginge wanachukua fulsa hiyo kuihujumu serikali.

Aidha Dkt Nchimbi aliongeza kuwa elimu ya kupiga kura inatakiwa kutolewa kwa wanachi bali kwa kuangalia ni nani anayetoa elimu bila kutaja chama wala kufanya kampeni kwani mda wa kampeni bado haujafika.

Alisema kuwa wananchi waelimishe kuhusu kujiandikisha katika dar\ftari ya kupigia kura na uchaguzi ukifika utafanywa na watanzania na kuwa hatakama mtu sio mtanzania na anapendwa kwa kiasi gani lakini hataruhusiwa kupiga wala kupigiwa kura.


Alisema kuwa wananchi wote wenyesifa wahamasishwe kwenda kupiga kura wakati ukifika na kuwa vituo viwekwe wazi ili kila mwananchi afahamu niwapi ataenda kupigia kura wakati ukifika.MKUU  wa Njombe Dkt. Rehema Nchimbi amesema kuwa watakuwa mkali kwa viongozi wa siasa watakao wadanganya wananchi na kuwa ujenzi wa maabara ndio unakao waongezea kura viongozi wa siasa kama watakamilisha mapema.

Wito huo umetolewa wakati wa hafla fupi ya kukaribishwa mkoani Njombe, Alisema kuwa kwa chama chochote kitakacho wadanganya wananchi atakuwa mkali na hatakubaliana,na kuwataka viongozi hao wajitahidi kuwaunganisha wananchi na sio kuwadanganya.

“Sitakubari kuona viongozi wa siasa kutoka chama chochote kitakacho wadanganya wananchi eti serikali haijafanya chochote  huo ni uongo na nitapambana nao,” alisema Dkt. Nchimbi.

Alisema kuwa kwa suala la ujenzi wa maabara wananchi wasidanganywe kuwa zisubiri uchaguzi vitu vyote vitasimama lakini si ujenzi huo ni razima ukamilike katika shule kila shule katika mkoa huu.

Alisema kuwa ujenzi huo utalipatia taifa wataalamu wa Sayansi na kuwa viongozi wa siasa wasidanganywe kuwa ujenzi wa baabara utampunguzia kura na kuwa mtu atakaye sema kuwa maabara zitawanyima kura huyo ndio mchawi wa kura za viongozi watakao gombea tena.

“Mtu atakaye jitokeza kupinga maabara na kukuambia kiongozi kuwa ujenzi huo utakunyima kura basi huyo ndio mchawi wa kura zako maabara ndio chanzo cha kura zako ukikamilisha ujenzi wa maabara utaweza kupata ushindi wa kishindo, kwa sababu maabara ni razima ni kwamaslahi ya watoto wetu ili wafanye vizuri katika masomo ya sayansi ” aliongeza Dkt. Nchimbi.

Alisema kuwa hatopenda kusikia kero yoyote ya kusumbuliwa kwa wananchi na kuwa watendaji na viongozi wa siasa wanapo tekeleza mirandi mbalimbali wasiwape kero wananchi na kuwa wawaelimishe wananchi miradi hiyo kabla ya kuanza kutekeleza.

Dkt. Nchimbi aliongeza kuwa anatoa onyo kwa watendaji wanao pitisha misako ya kodi na kusababisha kero kwa wananchi kwa kisa cha kutekeleza majukumu ya kazi kwani wenginge wanachukua fulsa hiyo kuihujumu serikali.

Aidha Dkt Nchimbi aliongeza kuwa elimu ya kupiga kura inatakiwa kutolewa kwa wanachi bali kwa kuangalia ni nani anayetoa elimu bila kutaja chama wala kufanya kampeni kwani mda wa kampeni bado haujafika.

Alisema kuwa wananchi waelimishe kuhusu kujiandikisha katika dar\ftari ya kupigia kura na uchaguzi ukifika utafanywa na watanzania na kuwa hatakama mtu sio mtanzania na anapendwa kwa kiasi gani lakini hataruhusiwa kupiga wala kupigiwa kura.

Alisema kuwa wananchi wote wenyesifa wahamasishwe kwenda kupiga kura wakati ukifika na kuwa vituo viwekwe wazi ili kila mwananchi afahamu niwapi ataenda kupigia kura wakati ukifika.