RAIS KIKWETE AHUZURIA MKUTANO WA TAASISI YA UCHUMI DUNIANI

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo  na Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria wakati viongozi hao wawili walipokutana na kufanya mazungumzo Alhamisi, Januari 23, 2014, kwenye Hoteli ya Intercontinental, Davos, Uswisi, ambako  wakihudhuria  Mkutano wa Mwaka huu wa Taasisi ya Uchumi Duniani –WEF. (PICHA NA IKULU)