WAKAZI WA MABATINI MBEYA HATARI MAGONJAWA YA TUMBO



WAKAZI wa kata ya Mabatini ameuombauongozi wa maji safi na majitaka mkoa wa Mbeya kuwarekebishia chemba ya bomba la majitaka linalotoa maji machachu ambayo yanaweza kusababisha mlipuko wa magonjwa tumbo.

Wakizungumza na ELIMTAA kwa nyakati tofauti wakazi hao wamesema chema iliyopo nyuma ya shule ya msingi Mabatini imekuwa ni kelo kutona na na chemba hiyo kuvuja maji machafu.

Moja wa wakazi hao aliyejitambulisha kwa jina la Alex Mwambepo amesema kuwa bomba hili licha ya mamlaka hiyo kulizibua hivi karibuni lakini bado lina toa tena maji hayo ambayo yanahatarisha afya yao.

Mamlaka ya maji safi na maji taka ilizibua chemba hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita chemba hiyo imeanza kuvuja tena maji machafu.