MBEYA: WATU WAWILI WASMECHOMWA MOTO



WATU  wawili   wamefariki  dunia  kwa  kukatwa  na  kitu  chenye  ncha  kali  sehemu  mbalimbali za  miili  yao katika  msitu  wa  Handa  wilayani  ya  Mbozi na kasha miili ya kuteketezwa kwa moto.


Akizungumza  na waandishi wa habari kamanda  wa  polisi  mkoani  hapa    Diwani  Athumani amewataja  watu  hao walio kufa kuwa Bonifasi  Haonga  mwenye  umri  wa  miaka  (24)  na  Elias  Mkondia  mwenye  umri  wa  miaka (35).

Amesema kuwa tukio  hilo  limetokea  Jana  majira ya  saa 1:50 asubuhi  ambapo baada  ya  tukio  hilo watuhumiwa wa mauaji hayo baada ya kukatakani miili ya marehemu hao waliiteketeza kwa moto   


Aidha  amesema  kuwa  chanzo  cha mauaji kuwatuhumu marehemu kuwa   ni  wezi  wa wamifugo  na   jeshi  la  polisi  linaendelea  na uchunguzi  kuwasaka  wahalifu  hao.