MBEYA: VYUO VINGI AJIRA KIDUCHU



KUTOKANA na vijana wengi kumaliza katika vyuo mbalimbali imebainika kuwapo kwa asilimia kubwa ya wasomi wasio na ajila.

Hayo yamebainishwa leo na baadhi ya vijana waliozungumzwa na Roc Fm kwa nyakati tofauti, mmoja wa vijana hao Josephu Oswege amesema kuwa vijana wengi wanahitimu masomo yao lakini tatizo la ajila limekuwa kero hivyo wengi wao kubaki mitaani


Ameongeza kwa kuoa ushauri kwa vijana wenzake kuwa ni vizuri wakasoma masomo yenye wigo mpana wa ajila pia kujenga tabia ya kujiajili ili kupunguza mrundikano wa vijana mitaani.
HABARI NA MAGDALENA OPIYO