MBEYA: PIPO AKAMATWA NA KIJITI CHA MJANI GRAMU 500


Mtu  mmoja  anashikiliwa  na  jeshi  la  polisi  kwa  tuhuma  za  kukutwa  na  bangi  gram 500 katika  maeneo  ya mhindani   wilaya ya  Mbarali  mkoani  hapa


Tukio  hilo  limetokea  Juni  18 majira ya saa  2:00 jioni  wakati  askari  polisi  wakiwa  doria  walimkamata  mtuhumiwa  huyo  kakiwa  amethifadhi  bidhaa  hizo  katika  mfuko  wa  sandalesi.


Aidha  kamanda wa  plisi  mkoani  Diwani Athmani    amemtaja mtuhumiwa  huyo  kuwa  ni  Bala  Luhendo  mwenye  umri wa  miaka  (40) mkazi  wa  mapogoro na ameongeza kuwa mtuhumiwa  ni  muuzaji  na  mtumiaji  wa bidhaa  hiyo  na  jeshi  la   polisi  linaindelea  na  uchunguzi