WAKAZI Jijini Mbeya wametoa
maoni yao
mbalimbali kufuatia bajeti ya serikali Inayoendelea kujadilwa na wabunge Mjini
Dodoma.
Akizungumza na Rock Fm Bw.
Bashiru Rajabu amedai kuwa katika bajeti serkali lazima iwaangalie watu wa kima
cha chini na pia iweze kuleta maendeleo katika taifa.
Aidha kwa upande wake Erick
Njora amesema kuwa bajeti ya serkali lazima ikubaliwe na wananchi wote naiswe
ya manufaa kwa watu wachache.
