MTOTO mchanga amekutwa
amefariki duni baada ya kutupwa pembezoni
mwa mto Sinde wa jijini Mbeya.
Akizungumzia tukio hilo kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya Diwani Athumani, amesema
kuwa tukio hilo
limetoke jana majira ya 4:00 za asubuhi maeneo ya Sinde.
Kamanda Athumani amesema kuwa
mtuhumiwa wa tukio hilo hajafahamika na mwili wa
kichanga hicho umehifadhiwa katika hospitali ya rufaa Mbeya pia ameitaka jamii
ya jijini hapa kutoa taarika kama kunamtu atakuwa na tetesi za tukio hilo.
