Vita vya Mimba Havijawahi Kumuacha Diamond Platnumz Salama

Kila kukicha kuna tetesi za wadada wa mujini mfano irene(Queen video wimbo wa kwetu),hamisa mabeto(queen video wimbo wa salome),penny(ex girlfriend wa dai) kubeba ujauzito wa msanii diamond ila cha kushangaza ni mwanamke mmoja pekee aliyetangaza ana mimba ya dai na akajifungua mara mbili. Ila wadada wengine mimba zao sijui huwa wanazipeleka wapi. kwa sasa insta kumechafuka kwa tetesi,hadi kufikia january matokeo ya mimba hizo yatakua hadharani
SOMA HII HAPA CHINI:

from Blogger http://ift.tt/2rEZ7SF
via IFTTT