Vita Kuu ya Tatu ya Dunia Yanukia (WW3)

Baada ya Wazee wa vita kuanza kufanya maandalizi ya Kuichapa Korea Kaskazini na baada ya wazee hao wa vita kufanya majalibio ya MOAB, Dalili zinaonyesha wazi kabisa nchi kumi zenye mabomu ys nuclea zimeanza kujiandaa kuingia vitani,
Hii vita ya tatu ya Dunia ya safari hii itakua ni balaa. Sasa na huu ugumu wa maisha tulionao nahisi tujiandae kula nyasi.

from Blogger http://ift.tt/2pOB6EK
via IFTTT