Baada ya Kutekwa Roma Aamua Kuimba Nyimbo za Kumsifu Mungu

Msanii wa muziki wa hip hop Roma Mkatoliki Ijumaa hii katika mitandaoni ya kijamii amekuwa gumzo baada ya kuonekana akiimba wimbo wa kumsifu Mungu ikiwa na wiki moja toka atekwe na kuachiwa.
Katika video hiyo rapa huyo amelalamika jinsi watu wanavyomsema vibaya kutokana na matatizo hayo ambayo yalimkuta akiwa na wenzake watatu.
Roma alisisika akisema “Ninalalaa macho wazi mimi, kama ndege mkiwa juu ya paaa, Nimekuwa kama muhuni mimi, fanya ima, fanya ima bwana uniokoee. Nimekuwa kama kichekesho kwa watu mimii bwanaa, kila nipitapo kunisema nakunicheka, munguu wangu mbona umeniachaa,”
Rapa huyo na wezake walitekwa na watu wasiojulikana wakiwa Tongwe Record na baadaye kutelekezwa katika beach za Uninio Jijini Dar es salaam

from Blogger http://ift.tt/2p53ZjI
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2ohwlCv
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oe4t2W
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pm7OxQ
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pmwqXl
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oBOv5C
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nP2eXS
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oKNdFS
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oyBQP7
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pjtxJM
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oCCfBE
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2nPZJED
via IFTTT