UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO. TAREHE 06/10/2015.

WIZARA YA UCHUKUZI
                             MAMLAKA  YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 06/10/2015.

[Mikoa ya Tanga, Dar es Salaam, na Pwani]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:

Hali ya Mawingu na mvua katika Baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua.
 [Mikoa ya Kilimanjaro, Manyara,Morogoro na Arusha]:

Hali ya Mawingu kiasi na mvua katika
maeneo machache na vipindi vya jua.

[Mikoa ya Kagera na Mara]:
Hali ya Mawingu kiasi, mvua na ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Mwanza,Kigoma na Geita]:
Hali ya Mawingu kiasi na ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Rukwa, Mbeya, Katavi, Iringa na Njombe]:
[Mikoa ya Dodoma, Singida, Shinyanga na Tabora]:
[Mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara]:
Hali ya Mawingu kiasi na vipindi vya jua


VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:

MJI
Kiwango cha juu cha joto

Kiwango cha chini cha joto

Mawio (Saa)

Machweo (Saa)

ARUSHA
26°C
14°C
12:20
12:27
D'SALAAM
31°C
21°C
12:08
12:17
DODOMA
30°C
16°C
12:22
12:31
KIGOMA           
33°C
19°C
12:46
12:55
MBEYA
29°C
15°C
12:31
12:40
IRINGA
29°C
14°C
12:22
12:31
MWANZA
30°C
18°C
12:35
12:41
TABORA
32°C
20°C
12:34
12:43
TANGA
29°C
22°C
12:09
12:18
ZANZIBAR
30°C
22°C
12:08
12:17

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini-Mashariki; kwa kasi ya km 30 kwa saa kwa Pwani ya kaskazini na km 20 kwa saa kwa Pwani ya kusini.

Hali ya bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi: Madogo hadi Makubwa kiasi.

Matazamio kwa siku ya Alhamisi: 08/10/2015: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 06/10/2015.

Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.