WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
Fax: 2460735. email: met@meteo.go.tz
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24
ZIJAZO KUANZIA SAA 3.00 USIKU WA LEO.
TAREHE 01/08/2015.
[Mikoa ya Tanga, Kilimanjaro,
Arusha na Manyara]:
[Visiwa vya Unguja na
Pemba]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
nyepesi katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Kagera na Mara]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi, mvua
na ngurumo katika Maeneo machache na vipindi vya jua.
|
[Mikoa ya Geita, Iringa,
Mbeya,Njombe, Lindi na Mtwara]:
[Mikoa ya Katavi, Mwanza,
Kigoma, Tabora na Rukwa]:
[Mikoa ya Shinyanga, Dodoma,
Singida na Ruvuma]:
[Mikoa ya Morogoro, Dar es
Salaam na Pwani]:
|
|
Hali ya Mawingu kiasi na
vipindi vya jua.
|
TAHADHARI
UPEPO MKALI UNAOZIDI KM 40 KWA SAA NA MAWIBI
MAKUBWA YANAYOZIDI MITA 2.0 VINATARAJIWA KATIKA UKANDA WOTE WA PWANI
VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI
YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
|
Kiwango
cha juu cha joto
|
Kiwango
cha chini cha joto
|
Mawio
(Saa)
|
Machweo
(Saa)
|
ARUSHA
|
23°C
|
16°C
|
12:41
|
12:38
|
D'SALAAM
|
29°C
|
20°C
|
12:36
|
12:21
|
DODOMA
|
29°C
|
16°C
|
12:48
|
12:37
|
KIGOMA
|
29°C
|
20°C
|
01:11
|
01:02
|
MBEYA
|
25°C
|
13°C
|
01:01
|
12:42
|
IRINGA
|
27°C
|
15°C
|
12:51
|
12:34
|
MWANZA
|
29°C
|
18°C
|
12:54
|
12:53
|
TABORA
|
32°C
|
16°C
|
12:59
|
12:50
|
TANGA |
29°C
|
21°C
|
12:34
|
12:25
|
ZANZIBAR
|
30°C
|
21°C
|
12:36
|
12:21
|
Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini kwa
kasi ya km 40 kwa saa kwa Pwani yote.
Hali ya
bahari: Inatarajiwa kuwa na Mawimbi Makubwa.
Matazamio kwa siku ya Jumatatu:
03/08/2015: Mabadiliko kidogo.
Utabiri huu umetolewa leo tarehe: 01/08/2015.
Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.