Matokeo ya kura za maoni mkoa wa Njombe Haya hapa Wabunge watawala waongoza




UCHAGUZI wa kura za maoni ndani ya CCM Mkoani mkoa wa Njombe kwa matokeo ya awari kwa majimbo mawili kati ya majimbo sita Wabunge wanaomaliza mda wao wanaongoza kwa kura nyingi dhidi ya wanaotaka kuwarisi.

Akitoa matokeo hayo kwa waandishi wa habari Mkoani Njombe kwa majimbo  ambayo matokeo ya awali yamepatikana, Katibu wa CCM mkoa wa Njombe Hosea Mpagike (Pichani) alisema kuwa katika jimbo la Ludewa lililokuwa chini ya mbunge Deo Filikunjombe lilikuwa na wagombea watatu na mbunge huyo kupata kura 18290 huku anaye mfuatia Zefania Chaula kura 770 na wa tatu Kapten Jacob Mpangara 205.

Aidha alisema kuwa katika jimbo la Njombe Magharabi lililo kuwa chini Greison Lwenge ambaye ameongeza kwa kura 13715 ambapo kulikuwa ana wagombea 12 huku wagombea  wengi wao wakiwa na kura chini ya nusu ya kula zake mbunge wa zamani wa nombo holo Thomas Nyimbo kura 2296 Yono Kevela, 1900, Petro John, 467 Richard Magenga  417Abraham Chaula 382 Dnform Mpumilwa 332, Hoseana Bumogero 322.

Huku wengine katika matokeo ya awali Malumbo Mangula, 304, Nepchard Msigwa 216 Abel Bade 106, na Estom Ngilangwa 47, huku katika jimbo la Makambako wilaya ya Njombematokeo yake yamekamika na Deo Sanga ameongeza kwa kura 7643 dhidi ya mgombea mwenzake Alimwimike Sahi 499 na katika jimbo la Njombe kusini Edward Mwalogo 3870, Maenda 218, Dioniol Msemwa 1676, Mtewele, 186, Luvanda 978, Mwaijinga 86, Mkwawa 152, Vtalis Konga 76.


Matokeo zaidi endelea kutufuatilia yatakujia hapa hapa Bofya hapa kuona zaidi na matokeo jimbo lingine