Akizungumza kwa masikitiko eneo la tukio alipouawa mwendesha
pikipiki huyo, katibu wa chama cha waendesha Bodaboda Bw.Kasim Kiduli
amesema kuwa, matuikio ya kukatisha maisha ya waendesha pikipiki
inaonesha kurudi mkoani Tabora, kwani kulikuwa na ukimya kwa muda.
Na Dunia Kiganjani