MWENDESHA BODABODA AUAWA KIKATILI MKOANI TABORA, WAUAJI WAUTELEKEZA MWILI WAKE KANISAN

Kijana mwendesha pikipiki akibeba abiria maarufu kama (Boda boda) katika manispaa ya Tabora ameuawa na watu wasiojulikana na kumtelekeza aneo la kanisa katholiki Makokola, na kutoweka na pikipiki yake aina ya Sanlg huku kisu kilichodaiwa kutumika kumuua kikitelekezwa eneo hilo.
Akizungumza kwa masikitiko eneo la tukio alipouawa mwendesha pikipiki huyo, katibu wa chama cha waendesha Bodaboda Bw.Kasim Kiduli amesema kuwa, matuikio ya kukatisha maisha ya waendesha pikipiki inaonesha kurudi mkoani Tabora, kwani kulikuwa na ukimya kwa muda.
Na Dunia Kiganjani