HAKUNA DIVISION FIVE, KUNA MADARAJA SABA KATIKA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE




SERIKALI imesema kuwa hakuna ‘Division five’ na kuwa ongezeko la madaraja ndilo limewachanganya watu.

Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philipo Mlogo wakati akizungunza na Kipindi cha Jambo kinacho lushwa na TBC amesema kuwa hakuna division five ili madaraja yameongozeka.

Amesema kuwa watanzania hawajaelewa vizuri mchakato ambao serikali imeufanya wakati ikitangaza kuongeza kwa madaraja katika upataji wa alama katika masomo ya mtihani wa kidato cha nne.

Amesema madalaza yameongeseka kutoka matano hapo awali mpaka saba hivi sasa ambapo awali kulikuwa na A, B, C, D, na F sasa kuna madaraja saba ambayo ni A, B+, B, C, D, E na F.

Amesema kuongezwa kwa madaraja hayo kunatokana kuwapo kwa mpishano mkubwa wa upataji wa maksi kwa wanafunzi walewanao pata alama za chini.

“Watoto wamemuwa wakipishana sana katika upataji wa maksi kutoka 33 ambayo ni ‘D’ na kumpata aliye pata 5 au 0 ambayo ni ‘F’ pamekuwa na ubali mrefu” alisema Mlugo.

Amesema kuongeza kwa madaraja sio kuwa na division five kutakuwa na Dision four kisha Ziro.

Amefafatua pia katika suala la Continues Assesment ‘CA’ hii itatoa asilimia chache amabzo ni 40 kwa masomo yake ya kilasiku toka alipo anza kidato cha kwanza hadi kufika kidato cha nne ambapo mtihani wa mwisho utakuwa na asilimia 60.

Amesisitiza kuwa kila mtihani anao ufanya mwanafunzi unaumuhimu wake hasa ule wa kidato cha pili na mocko ya kidato cha nne.


SERIKALI imesema kuwa hakuna ‘Division five’ na kuwa ongezeko la madaraja ndilo limewachanganya watu.

Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Philipo Mlogo wakati akizungunza na Kipindi cha Jambo kinacho lushwa na TBC amesema kuwa hakuna division five ili madaraja yameongozeka.

Amesema kuwa watanzania hawajaelewa vizuri mchakato ambao serikali imeufanya wakati ikitangaza kuongeza kwa madaraja katika upataji wa alama katika masomo ya mtihani wa kidato cha nne.

Amesema madalaza yameongeseka kutoka matano hapo awali mpaka saba hivi sasa ambapo awali kulikuwa na A, B, C, D, na F sasa kuna madaraja saba ambayo ni A, B+, B, C, D, E na F.

Amesema kuongezwa kwa madaraja hayo kunatokana kuwapo kwa mpishano mkubwa wa upataji wa maksi kwa wanafunzi walewanao pata alama za chini.

“Watoto wamemuwa wakipishana sana katika upataji wa maksi kutoka 33 ambayo ni ‘D’ na kumpata aliye pata 5 au 0 ambayo ni ‘F’ pamekuwa na ubali mrefu” alisema Mlugo.

Amesema kuongeza kwa madaraja sio kuwa na division five kutakuwa na Dision four kisha Ziro.

Amefafatua pia katika suala la Continues Assesment ‘CA’ hii itatoa asilimia chache amabzo ni 40 kwa masomo yake ya kilasiku toka alipo anza kidato cha kwanza hadi kufika kidato cha nne ambapo mtihani wa mwisho utakuwa na asilimia 60.

Amesisitiza kuwa kila mtihani anao ufanya mwanafunzi unaumuhimu wake hasa ule wa kidato cha pili na mocko ya kidato cha nne.