KABLA ya
mkutano wa kila mwaka wa shirika la
fedha la kimataifa IMF na benki kuu ya
dunia, IMF imetoa ripoti yake mpya kuhusu hali
ya uchumi wa dunia.
Inatabiri
kuwa ukuaji wa uchumi wa dunia utapungua
katika mwaka 2013.
Ukuaji wa
uchumi wa Ujerumani utabakia katika asilimia
0.9 na unatarajiwa kubakia katika hali
yake ya kawaida mwaka ujao.
