WAKAZI
wa Kijiji cha Ilota kata ya Mshewe halimashauri ya Mbeya wameiomba serikalai
kuwatatulia tatizo la maji ambalo limekuwa likiathi uchumi wao.
Wakizungumza
na Elimtaa wakazi wa kijiji hicho kilichopo katika kata ya Mshewe wameiomba
serikali kutoa huduma hiyo kama itolewavyo katika kata na vijiji vjingine hapa
nchini.
Mwenyekiti
wa kikundi cha Zinduka Bi. Witness
Sikayangacha kijijini hapo amesema wanaiomba serikali kufanya hivyo ili
wakazi wa kijiji hicho kuwa kama watanzania wengine wanao pata huduma bora.
Amesema mbali na kukosa maji
katika kijiji hicho cha Ilota pia katahiyo imekuwa na upungufu wa huduma
mbalimbali za afya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
