WANAMAZINGIRA MBEYA DAY WAWATEMBELEA WAGONJA SIKU YA MAADHIMISHO YA MIAKA MITANO


JAMII    mkoani  Mbeya imetakiwa kuzingatia usafi wa mazigira kwa ajili ya afya na kizazi kijacho kikute mazingira mazuri.

Hayo yamebainishwa mwishoni mwa wiki hii katika maadhimisho ya miaka mitano ya kuanzishwa kwa klabu ya wanamazingira wa shule ya sekondali Mbeya day, na Gerald   Mwenyekiti wa mazingira mkoa wa Mbeya.

Amesema jamii  iyalinde mazingira kwa kupanda miti na usafi mwingine wa kimazingira na mazingira kututunza sisi.

Pia amewataka wanafunzi kujituma katika kuhamasisha utunzaji wa mazingira, katika klabu ya Mbeya sekondari katika kuazimissha siku hiyo ya mazingira wamepanda maua katika shule yao na kwenda kuwatembelea wagonjwa katika hospitali ya mkoa na kuwapelekea matunda.