SOMALIA: AL-SABAAB KWISHI NEI MJI WA GODO


Vikosi vya usalama vya Somalia vimedai kuwashinda wapiganaji wa al-Shabaab katika mkoa wa Gedo hapo, vikisema kundi hilo limepata pigo kubwa.
Hayo yamebainishwa na Jenerali Abdi Mahdi, mkuu wa vikosi vya Somalia katika mkoa wa Gedo,wakati akizungumza na mtandao wa habari wa Somalia, wa  Shabelle Media Network.
 
Maeneo hayo sasa yako chini ya udhibiti wa vikosi vya Kenya na Somalia, amesema jenerali huyo, akiongeza kwamba vikosi hivyo vya washirika vitarejesha usalama katika mkoa huo ili kuzuia mashambulizi mengine ya al-Shabaab.