Tahadhari ya Mazigira yaanza kuchukuliwa kuelekea tanzania ya viwanda



WAKATI nchi ya Tanzania ikielekea kwenye uchumi wa kati wa viwanda tahadhari dhidi ya uharibifu wa mazingira imeanza kuchukuliwa kwa kuanza kutoelwa elimu namna ya utuzaji wa mazingira kwa kuanza na waalimu wa shule za msingi.