Gazeti la NEWAFRICAN: Heshima ya Tanzania Yaanza Kurudi

Naamini msimamo MKALI aliouchukuwa rais Magufuli wa KUITETEA nchi yake dhidi ya KUONEWA KIUCHUMI ambao wengine waliuona ni kama anakimbizana na upepo/Chasing after wind umeanza kuzaa matunda.
1. HESHIMA kama TAIFA inaanza KURUDI hatua kwa hatua. Hadi kumfanya mkuu wa migodi husika AJE YEYE mwenyewe KUIMBEMBELEZA Tanzania. Hilo tayari ni jambo linaanza kuipa HESHIMA nchi yetu.
2. Wawekezaji wa kweli itawafanya KUIHESHIMU nchi hii na HAKUTAKUWAPO tena ubabashiaji wa kutunyonya.
3. Badala ya kupewa vitisho vya aina mbalimbali sasa TUNABEMBELEZWA.
Ndo maana gazeti la mwezi huu wa June la New African: Linalosomwa kote duniani lilisema Katika front page yake huku likiwa na PICHA ya RAIS MAGUFULI nami nanukuu

AFRICA’S NEW RISING STAR President Magufuli””/Tanzania RAIS Magufuli NYOTA INAYOANZA KUNG’AA AFRICA”.

Na katika makala hiyo, mmoja wa waandishi wa MASUALA ya kiuchumi Mr Neil Ford anasema si muda mrefu Tanzania itakuwa juu sana Kiuchumi na KUHESHIMIKA si Africa tu bali KOTE DUNIANI.
Akilinganisha na nchi zingine za Africa Mashariki Tanzania KUNA UNAFUU mkubwa wa MAISHA na hata bei ya BIDHAA ziko CHINI kuliko nchi zinazoizunguka.
Na si muda mrefu huenda UMASKINI UTATOKOMEZWA kabisa nchini Tanzania hivyo kuifanya nchi hii KUHESHIMIKA katika bara ZIMA la Afrika.
 ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2rk82WX
via IFTTT