EXCLUSIVE: Mchekeshaji Ebitoke aahidi kujitunza kwa ajili ya Ben Pol

Moja ya story kubwa hivi sasa ambayo ina-make headlines ni kuhusu Mchekeshaji Ebitoke kuweka wazi akieleza hisia zake kuwa siku moja anatamani kuwa mke wa staa wa RnB Bongo Ben Pol.
Ebitoke
Kwenye EXCLUSIVE Interview na Ayo TV na millardayo.com Ebitoke ameeleza kila kitu kuhusu anavyohisi kila anapomuona Ben Pol na namna alivyojiweka tayari kuwa mke wa staa huyo Bongofleva akidai kuwa hakuwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yeyote kwa ajili ya Ben Pol akisema ameumia baada ya kujua ana mtoto.
ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2rLwcfR
via IFTTT