BAD NEWS: Aliyemfukuza Mwizi auawa yeye badala ya Mwizi DSM…kisa?

Moja ya story kubwa iliyonifikia leo June 15, 2017 ni tukio la kusikitisha ambalo limetokea maeneo ya Ubungo DSM ambapo mtu mmoja amepigwa hadi kufariki na watu wanaodhaniwa kuwa mateja baada ya kumfukuza mwizi.
Tukio hilo limetokea alfajiri ya leo June 15, 2017 ambapo inadaiwa kuwa marehemu alikuwa katika juhudi za kumfukuza mwizi aliyepora mkoba wa mwananmke na kukimbilia vichakani na alipomfuata huko alishambuliwa na watu wanaodhaniwa kuwa ni mateja.
Video hii ina kila kitu kutokana na tukio hilo…Bonyeza Play hapa chini kutazama.
ASANTE KWA KUTEMBELEA MTANDAO WETU!!

from Blogger http://ift.tt/2semIbx
via IFTTT