VIDEO: ‘Kuna Wabunge Wanakaa Hapa Wanashindwa Kuiambia Serikali Ukweli’-Halima Mdee

Mbunge wa Kawe kupitia CHADEMA Halima Mdee ni miongoni mwa wabunge waliopata nafasi ya kusimama Bungeni leo April 10, 2017 kuchangia maoni yao kuhusu mapitio ya mapato na matumizi ya fedha za ofisi ya Waziri mkuu na ofisi ya bunge kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

from Blogger http://ift.tt/2p2Esom
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2nYk5qE
via IFTTT

Related Posts