Machinga Waandamana Kariakoo Kumpinga Makonda Uuzaji wa CD za Nje

Katazo la mkuu wa mkoa wa Dar kupiga marufuku CD za movie kutoka nje ya nchi ili kuinua sokolafilamu nchini limepingwa vikali na machinga wa Kariakoo wakidai kuwa biashara yao ya kuwaingizia kipato imeathiriwa na katazo hilo

from Blogger http://ift.tt/2oVbFED
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2on1fKC
via IFTTT


Related Posts