Hataree..Diamond Afunguka Haya Mazito Baada ya Roma Mkatoliki Kutekwa…!!!!

Wakati mwingine natafakari sijui hata wapi tunaelekea… lla kwakuwa Mwenyezi Mungu ndio Mpangaji wa yote basi naamini hata hili litapita tu… Mwenyezi Mungu aipe nguvu familia ya @roma2030 na wanamziki wenzetu wote ambao hadi sasa haijajulikana walipo..

from Blogger http://ift.tt/2o57y6o
via IFTTT