Baada ya Kimya Kirefu..Kamanda Kova Aibuka na Kunena Haya Mazito Baada ya Kustaafu,Asimulia Jinsi Anavyonyanyaswa na Aliowasaidia..!!!

Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Suleiman Kova amesema marafiki wengi wa viongozi si marafiki wa kweli bali ni marafiki wa zile nafasi walizonazo.
Kamanda Kova alisema hayo katika uzinduzi wa Chuo Cha Fursa (APEC) kilichopo maeneo ya Ukonga, mwishoni mwa wiki ambapo mkurugenzi wa chuo hicho alimualika kuhudhuria hafla hiyo.
“Mkurugenzi wa APEC, Respicius Timanywa, alikuja ofisini kwangu mwaka 2010 akitaka ushauri na kupata maelekezo kuhusu mtaala wa kufundishia bodaboda, tuliandaa pamoja naye, leo amenikumbuka kanialika katika uzinduzi wa chuo,” alisema Kamanda Kova.
Aliongeza “Ni watu wachache sana wanaoweza kukumbuka, wengi ni marafiki wa kiti chako sio wewe, ukitoka katika kiti ukimpigia simu hapokei na mwingine anaitika kisha anazima kabisa.”
Aidha Kamanda huyo alisema kwa sasa anajishughulisha na kutoa ushauri wa masuala ya maafa, majanga na uokoaji.

from Blogger http://ift.tt/2owCnUD
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nSnwAr
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oU7eqi
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nXFrHC
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nXOSa3
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nFbAS0
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oyooNI
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o5Wx6Q
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nTKZ4o
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nGuEz6
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nB2vZw
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nUkETV
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o6XStR
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o7lWx2
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oXPIkW
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oA2euB
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2nCq97U
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oYCVi9
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2oB78HF
via IFTTT

Related Posts