VIDEO Queen ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva amefungukia kazi zake kuwa bila kutumia kinywaji cha pombe kali kabla ya kuimba ama kuuza nyago kwenye video hawezi kufanya vizuri kwani atashindwa kuchetuka.
Akibonga na Ijumaa juzikati, Amber anayetikisa na Wimbo wa Watakoma alisema, mara nyingi atumiapo pombe kali humpa stimu ya kufanya kazi vizuri na pia ipo kwenye ‘damu.’
“Sijajua kwa nini yaani lakini nikitumia pombe kali huwa zinanipa stimu kinoma ya kufanya kazi zangu na bila hizo siimbi wala kushiriki freshi kwenye uandaaji wa video,” alisema Amber.
from Blogger http://ift.tt/2nKQWyP
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nKPV9V
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nRZ9Ct
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nlXvN0
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oKwQtx
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2paGzp5
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2nTxO2M
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oL8gcd
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2oO0Sfv
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o7klVD
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2oSaYcq
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2noiQp8
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2oSjjwG
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oOxTZ8
via IFTTT
from Blogger http://ift.tt/2noo2cE
via IFTTT
Related Posts


Ajib Ataka Milioni 60 Asaini Singida United..!!! ajib, Simba KIUNGO Mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Ajib, amewataka Singida United kumpa Sh milioni 60 ili wapate saini yake kwa ajili ya kuwatumikia msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Ajib ambaye kaonyesha nia ya kuondoka Simba baada ya mkataba wake kuisha na kwenda kutafuta changamoto nyingine ya soka, jina lake limetajwa na kocha Hans Pluijm kwenye kikosi chake. Tayari mchezaji huyo amekwishaweka bayana kuwa anahitaji fedha hizo na endapo itashindikana, hawezi kujiunga na timu hiyo mpya kwenye Ligi Kuu msimu ujao. Mbali na Ajib pia timu hiyo imeonyesha nia ya kumtaka mchezaji wa Yanga, Deus Kaseke ambaye naye anahitaji Sh milioni 40. Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Singida United, Festo Sanga, alithibitisha kufanya mazungumzo na wachezaji hao, lakini bado hawajafikia hatua ya kuwafanya wasaini katika klabu hiyo. “Ni kweli tunawahitaji na tumefanya nao mazungumzo na tumeweka wazi kiasi ambacho tunacho mkononi, ila inaonekana wao bado hawapo tayari, hivyo tunawasubiri wao wakiwa tayari sisi hatuna shida muda wowote wakitufuata tutasaini,” alisema Sanga. Alisema kuwa malengo yao msimu huu ni kusajili wachezaji 25, wapya wakiwa 14, saba kutoka nje na saba wengine kutoka ndani, huku mpaka sasa wachezaji wa ndani bado watatu kwa kuwa wamesajili wawili tu. 


