Amber Lulu: Bila Pombe Kali Siimbi, Siuzi Nyago!!

VIDEO Queen ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva amefungukia kazi zake kuwa bila kutumia kinywaji cha pombe kali kabla ya kuimba ama kuuza nyago kwenye video hawezi kufanya vizuri kwani atashindwa kuchetuka.
Akibonga na Ijumaa juzikati, Amber anayetikisa na Wimbo wa Watakoma alisema, mara nyingi atumiapo pombe kali humpa stimu ya kufanya kazi vizuri na pia ipo kwenye ‘damu.’

“Sijajua kwa nini yaani lakini nikitumia pombe kali huwa zinanipa stimu kinoma ya kufanya kazi zangu na bila hizo siimbi wala kushiriki freshi kwenye uandaaji wa video,” alisema Amber.

from Blogger http://ift.tt/2nKQWyP
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nKPV9V
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nRZ9Ct
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nlXvN0
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oKwQtx
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2paGzp5
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nTxO2M
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oL8gcd
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oO0Sfv
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o7klVD
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oSaYcq
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2noiQp8
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oSjjwG
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oOxTZ8
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2noo2cE
via IFTTT


Related Posts