Amber Lulu: Bila Pombe Kali Siimbi, Siuzi Nyago!!

VIDEO Queen ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva amefungukia kazi zake kuwa bila kutumia kinywaji cha pombe kali kabla ya kuimba ama kuuza nyago kwenye video hawezi kufanya vizuri kwani atashindwa kuchetuka.
Akibonga na Ijumaa juzikati, Amber anayetikisa na Wimbo wa Watakoma alisema, mara nyingi atumiapo pombe kali humpa stimu ya kufanya kazi vizuri na pia ipo kwenye ‘damu.’

“Sijajua kwa nini yaani lakini nikitumia pombe kali huwa zinanipa stimu kinoma ya kufanya kazi zangu na bila hizo siimbi wala kushiriki freshi kwenye uandaaji wa video,” alisema Amber.

from Blogger http://ift.tt/2nKQWyP
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oIes4s
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o9Hit6
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nRZ2Xq
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oRc3Br
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oRCSFu
via IFTTT




from WordPress http://ift.tt/2oKm0DU
via IFTTT

Related Posts