Ajali:Daladala Yagonga Treni Leo Alfajiri Dar es Salaam na Kusababisha Maafa

Mtu mmoja amefariki dunia baada ya kutokea ajali ya basi la abiria/daladala (T 435 DGG) kutoka Gongo la Mboto kwenda Mnazi Mmoja kuigonga treni ya Pugu leo Aprili 19, 2017 saa 11 alfajiri katika makutano ya reli na barabara ya Nkurumah jijini Dar es Salaam.
Majeruhi wa ajali ni 23 , wanane wapo hospitali ya Amana na waliobakia 15 wapo Hospitali ya Taifa Muhimbili MOI watatu kati yao ni mahututi. Taarifa zaidi itatolewa kuhusu ajali hiyo.
Hata hivyo treni ya Pugu inaendelea na huduma zake kwa kufuata ratiba.
Imetolewa na Afisi ya Uhusiano kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TRL
Nd. Focus Sahani,
Dar es Salaam,
Aprili 19, 2017.

from Blogger http://ift.tt/2on0otm
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2pBKqgc
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2onmk7L
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o4bck1
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oW4BHC
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2oQhW1W
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2o54dY9
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pE0u0M
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2oogVxc
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pElyab
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2pTv9GO
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2opcBha
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2o6oexp
via IFTTT


Related Posts