Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu aongea kuhusu Nape Kutumbuliwa

Rais John Magufuli afanya mabadiliko kwenye baraza la mawaziri, amteua Dkt. Harrison Mwakyembe kuwa waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo. Nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na Nape Nnauye. -Pia amemteua Prof. Palamagamba Kabudi kuwa waziri wa Katiba na sheria.
TAZAMA JAMAA HUYU ALIVYOKOSWA KOSWA NA KIFO KWA AJARI MTONI

from Blogger http://ift.tt/2mTiWjg
via IFTTT

from WordPress http://ift.tt/2mSYUpk
via IFTTT

from Blogger http://ift.tt/2nGsLpr
via IFTTT


Related Posts