Napenda kuwajulisha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo yuko mbele ya Kamati ya Maadili Haki na Madaraka ya Bunge.
Taarifa ya kamati itafikishwa kwenye Bunge zima na kusomwa.
Tuvute subira tujue mbivu na mbichi..
TAZAMA HARMORAPA ALIVYO TIMUA MBIO BAADA YA KUIONA BASTOLA
from Blogger http://ift.tt/2nM7x95
via IFTTT