Baraza Kuu la Uongozi Taifa la Chama cha Wananchi(CUF) leo limemvua Maalim Seif nafasi ya Ukatibu Mkuu na kumpa Magdalena Sakaya.
Taarifa ya hatua hiyo imetangazwa Mapema leo na Prof Ibrahim Lipumba
Habari zaidi itakujia hivi punde…
TAZAMA HARMORAPA ALIVYO TIMUA MBIO BAADA YA KUIONA BASTOLA
from Blogger http://ift.tt/2nf8ovV
via IFTTT
from WordPress http://ift.tt/2odkAhK
via IFTTT